Walimu Waandamana - Kasulu

Mapambano Yetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
1,133
Reaction score
2,128
Wameandamana wakishinikiza kulipwa madeni yao zaidi ya Milioni 78 na kuituhumu halmashauri kutowapandisha madaraja kwa wakati.


N:B halmashauri ya Morogoro jiandaeni haiwezekani mwalimu aliyeajiriwa mwaka 2011 bado anapokea mshahara sawa na waajiriwa wapya bila increment yoyote.
 
TAMISEMI matatizo kila kona.
 
TAMISEMI matatizo kila kona.


Tamisemi wanasema hawana ela, walimu hawapandi madaraja, ela za rikizo tatizo, madeni Wengine wamesha yasahau. Hii serikali ya JK zero kabisa
 
Urambo jiandaeni maandamano yanakuja, Mkurugenzi hataki kupandisha madaraja kwa wakati kwa nini?
 
Walimu komaeni kudai haki zenu.Huu si wakati wa kulalamika.Mkuu wa nchi alalamike, Waziri mkuu alielie,Wabunge nao walalamike. Sasa nani atatusaidia ? Njia pekee ni sisi wananchi kuchukua hatua....
 
Singida vijijini napo majanga.
Kuna Walimu hawajapandishwa toka 2007.
Maandamano yamekarbiia kabisa.
 
si ndio hawa wanaotumiwa na serikali kuchakachua kura za upinzani, nasema na wasilipwe kabisa na wakiandamana wapigwe mabomu
 
Hawajapewa shavu selikali za mitaa. Maana kwenye chaguzi walimu ndio wanapataga visenti vya chumvi harafu kimyaa.
 

kwani halmashauri ndiyo inayopandisha madaraja?
 
Walim wenyewe wengi waoga,wanaogopa srikali ka nin na hasa wa primary
 
si ndio hawa wanaotumiwa na serikali kuchakachua kura za upinzani, nasema na wasilipwe kabisa na wakiandamana wapigwe mabomu

Kwa jinsi ninavo chukia walimu wanafiki wa bongo mi naomba wavunjwe na viuno kabisa!
 
Hivi haya matatizo ya kutopandishwa madaraja yapo katika idara ya elimu tu au na idara nyingine pia? Nauliza hivyo kwa sababu mara nyingi nasikia malalamiko kama haya kwa walimu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…