Wameandamana wakishinikiza kulipwa madeni yao zaidi ya Milioni 78 na kuituhumu halmashauri kutowapandisha madaraja kwa wakati.
N:B halmashauri ya Morogoro jiandaeni haiwezekani mwalimu aliyeajiriwa mwaka 2011 bado anapokea mshahara sawa na waajiriwa wapya bila increment yoyote.
Wameandamana wakishinikiza kulipwa madeni yao zaidi ya Milioni 78 na kuituhumu halmashauri kutowapandisha madaraja kwa wakN:B halmashauri ya Morogoro jiandaeni haiwezekani mwalimu aliyeajiriwa mwaka 2011 bado anapokea mshahara sawa na waajiriwa wapya bila increment yoyote.
Walimu komaeni kudai haki zenu.Huu si wakati wa kulalamika.Mkuu wa nchi alalamike, Waziri mkuu alielie,Wabunge nao walalamike. Sasa nani atatusaidia ? Njia pekee ni sisi wananchi kuchukua hatua....
Wameandamana wakishinikiza kulipwa madeni yao zaidi ya Milioni 78 na kuituhumu halmashauri kutowapandisha madaraja kwa wakati.
N:B halmashauri ya Morogoro jiandaeni haiwezekani mwalimu aliyeajiriwa mwaka 2011 bado anapokea mshahara sawa na waajiriwa wapya bila increment yoyote.
Hivi haya matatizo ya kutopandishwa madaraja yapo katika idara ya elimu tu au na idara nyingine pia? Nauliza hivyo kwa sababu mara nyingi nasikia malalamiko kama haya kwa walimu tu.