Walimu wa kike wanahitajika

Walimu wa kike wanahitajika

Apologise lady

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2013
Posts
5,980
Reaction score
3,115
Nahitaji wanawake 5 waliosoma shahada ya elimu.
Shule ipo kibaha.
Ni shule inayotoa huduma kwa watoto wa kike wenye uhitaji tu.


VIGEZO
uwe na gpa kuanzia 3.6 kwa ngazi ya shahada.
Uwe na umri angalau kuanzia miaka 25
Uwe tayari kuwalea watoto kwa upendo, maadili, na kujitoa toka moyoni.




Kwa uliye tayari ni pm kwa maelekezo zaidi, ningependa zaidi unipm kuanzia kesho ndio nitajibu.
 
Nahitaji wanawake 5 waliosoma shahada ya elimu.
Shule ipo kibaha.
Ni shule inayotoa huduma kwa watoto wa kike wenye uhitaji tu.


VIGEZO
uwe na gpa kuanzia 3.6 kwa ngazi ya shahada.
Uwe na umri angalau kuanzia miaka 25
Uwe tayari kuwalea watoto kwa upendo, maadili, na kujitoa toka moyoni.




Kwa uliye tayari ni pm kwa maelekezo zaidi, ningependa zaidi unipm kuanzia kesho ndio nitajibu.

Wa masomo gani dada
 
Naomba namba ya simu au nitafute my no ni 0718780348 TUWASILIANE
 
Nahitaji wanawake 5 waliosoma shahada ya elimu.
Shule ipo kibaha.
Ni shule inayotoa huduma kwa watoto wa kike wenye uhitaji tu.


VIGEZO
uwe na gpa kuanzia 3.6 kwa ngazi ya shahada.
Uwe na umri angalau kuanzia miaka 25
Uwe tayari kuwalea watoto kwa upendo, maadili, na kujitoa toka moyoni.




Kwa uliye tayari ni pm kwa maelekezo zaidi, ningependa zaidi unipm kuanzia kesho ndio nitajibu.

Vipi Kwa Wenye JINSIA Mbili a.k.a SEMENYA?
 
mbona haujanicheki jmani na namba yangu nimeitoa hapo??? 0718780348
 
Daah kwa hiyo wanaume hatuna nafasi?
 
Back
Top Bottom