Walimu msipojirekebisha tutawatenga

Walimu ndiyo kada inayotapeliwa kirahisi sana nchi hii kuliko kada nyingine yoyote.

No wonder watoto wetu wanazidi kuwa wapuuzi licha kubeba degree.
Katika hili nitakataa. Kama ni hiyo mikopo yenye riba kubwa, mpaka askari polisi nao wanaumia. Wamama wa mitaani ndiyo wanateseka mpaka wanatia huruma. Maana marejesho ni kila siku.

Imagine wanakopeshwa laki 1, halafu kila siku wanatakiwa kulipa marejesho ya shilingi 4000-4500! Ni vile tu walimu wana damu ya kunguni kwa baadhi ya watu.
 
Wito na Uzalendo iwe kwa walimu tu? Kila mmoja katika nchi anatakiwa kuwa mzalendo. Sio kunyonya watu wachache na kuwapa maneno ya ulaghai kuwa wawe Wazalendo wakati katika nchi ileile kuna watu wana neema utadhani ni nchi mbili tofauti. Sio walimu tu, watumishi wengi wa umma wanaishi maisha below the standard. Wengi wao hawawezi ku-afford hata bills za kawaida kabisa za kila mwezi licha ya kuwa na ajira. Kila siku unaambiwa kuna tume imeundwa sijui kufuatilia mishahara, sijui michakato, sijui nini na nini. Unyonyaji mtupu na usanii sanii mwingi. Mtu mwenye ngozi nyeusi ni kiumbe cha ajabu kabisa. Inakera sana wakati mwingine na inabidi hata kutumia maneno makali.

Nchi za wenzetu wanajitahidi ku-standardize vipato vya raia wake ila sie tunakomea kusababisha kuwepo kwa gap kubwa kati la wenye nacho na la wasio nacho kwa kisingizio cha umaskini wa kutengenezwa unaoweza kuepukika kabisa.

Mie nawashauri walimu na watumishi wengine hasa ambao ndio wameanza ajira zao kuweka kipaumbele suala la ufugaji angalau Ng'ombe wa maziwa na kuku wa nyama au mayai iwe kipaumbele kikubwa zaidi kuliko mambo mengine yoyote yale. Kuliko sijui ku-plan kuoa au kuolewa, au kujenga nyumba, fanya juu chini kuhakikisha unapata elimu sahihi ya ufugaji kisha uhakikishe nyumbani kwako unafuga Ng'ombe wa maziwa na kuku ili kuepukana na fedheha za malipo duni kabisa ya wenye mamalaka wanaofanya maksudi kuwaletea umaskini watu wake.
Umeongea Kwa uchungu sana
 
Katika hili nitakataa. Kama ni hiyo mikopo yenye riba kubwa, mpaka askari polisi nao wanaumia. Wamama wa mitaani ndiyo wanateseka mpaka wanatia huruma. Maana marejesho ni kila siku.

Imagine wanakopeshwa laki 1, halafu kila siku wanatakiwa kulipa marejesho ya shilingi 4000-4500! Ni vile tu walimu wana damu ya kunguni kwa baadhi ya watu.
Sio kweli, walimu ndowananyonywa shida walimu wamezubaa sana
 
Utapeli sio KWA walimu tu mkuu hata viongozi wa nchi wanatapeliwa sana!!

We fikiria mikataba ya hovyo inayosainiwa na viongozi KWA Rushwa za mapesa na mapato fulani yanaendana na anachopata mwekezaji!!?

Huo ni utapeli KWA Taifa na KWA JAMHURI SASA mtumishi wa umma anashindwaje kutapeliwa !!?hata mabenki ya hapa nchini yanatapeli watu KWA riba za mchongo!!

Utapeli upo sema ni ngumu kuu detect yadi uwe akili kubwa ndio utaweza ku detect utapeli!!!

Hapa tulipo tambua mitandao ya sim inatutapeli KILA siku vocha zetu KWA bando za mchongo tunazotumia HUMU!!
Acha ubishi
 
Hawa viumbe sijui akili zao zikoje, huwa wanaambukizana akili mbovu utadhani wanakunywa maji ya kisima kimoja. Moja akifanya upuuzi wake wote wanaigana, huyu akikopa na yule anakopa, mwisho wa siku wanalemewa na madeni na kuiona kazi ya ualimu ni chungu kumbe kosa ni kuigana ujinga
We hukopi
 
Yaani mwalimu ni kiumbe wa ajabu sana, kucha Kutwa madeni tu. Mwezi jana kuna mwalimu mkoa fulani alitolewa darasani na polisi akiwa kapigwa Tanganyika jeck Kwa sababu hataki kumlipa mangi deni la laki mbili

Tulipouliza alikopaje kumbe huwa anakopa kila siku dagaa na chumvi kulipa halipi. Walimu wamekuwa wahanga wa mikopo kausha damu ila hawajali maana shida ni sehemu ya maisha Yao. Wateja namba moja wa MABOTO na Umoja loan ni walimu

Kuna siku nilikuwa Bukoba mjini nikaona ofisi imeandikwa tunakopesha walimu tu. Jiulize kwann wanakopesha walimu tu kada zingine hawataki, jibu ni kwamba mwalimu ni rahisi kumburuza na kumdanganya, hawasomi mikataba ya mikopo wao wanafocus pesa tu hata kama ni riba kubwa kiasi gn

Juzi kuna mwalimu analalamika alikopa mkopo maboto laki tano huu mwaka wa tatu hauishagi, wanakata tu kila mwezi inafika hata million tano mpaka saizi.

Walimu mikopo bila malengo ni hasara, usichukue mkopo kujenga nyumba Bali kaendeleze biashara yako iliyokua na imekubali. Vinginevyo mtabaki masikini wa kutupwa jalalani
Huyu jamaa wamemwachia why wasingemuwasha ban ya maisha au katengeneza id ingine
 
Ha
@Tate Mkuu huwa nakushangaa sana nakuona mnafiki unashindwa kuwaambia ukweli badala yake unawakingia kifua na kuwasifia ilihali wanaishi maisha ya kutupwa. Mwalimu ni mtu wa hovyo sana hapa bongo. Watumishi wengine wakiwa wanaomba likizo hata kama zisizo na malipo ili wakae na Familia na kufanya michakato mingine ila walimu wanaomba shule zisifungwe waendelee kufundisha Bure khabisa wakati wa likizo

Hawapewi extraduty Wala Overtime allowance wao powa tuu wanasema darasa la nne na lasaba hamtafunga, from two na form four hamtafunga , serikali inasema wanafunz wote wafunge wao hawataki. Kweli hawa viumbe ni mapunda ahsee
Nadhani walimu wachache waliokufundisha brother ila sio wote.
 
Back
Top Bottom