Walimu kugoma Oktoba mosi

Walimu kugoma Oktoba mosi

Kama bilion 33 ni haki yao walipwe ili big result now itekelezeke.
Kama malipo ya walimu yanatolewa na hazina yanakwamia wapi?
Anayelimbikiza malipo ya walimu ni nani?

Mgomo ni haki ya wafanyakazi lakini process yake ni ndefu.
Wakifikia kugoma serikali itaenda mahakama kuu divisheni ya kazi jumamosi kusimamisha huo mgomo.
Walimu wakigoma vyama vingine navyo viwaunge mkono hadi haki ipatikane maana Thomas Mboya aliwahi kusema tajiri hata awe baba,mama,mjomba wako wote wanaasili ya kumnyonya mfanyakazi.
 
Mkoba anajaribu kuwahadaa walimu kuwa anapokea mshahara kihalali kwa kutoa matamko yasiyotekelezeka.
 
Kabla ya kuitisha mgomo, get together with Attorneys kuangalia sharia na taratibu zote zinafuatwa ili huu mgomo ufanikiwe
 
Chini ya CWT hakuna mgomo. Kwanza miongoni mwa wanachama wake ni pamoja na Afsa Elimu wa Wilaya na Wakuu ws shule za sek. Shida inakuja pale wanapotaka kugoma. Unawakuta Wakuu wote wa shule wapo Ofisini wanachapa kazi. Ukiwauliza kwanini wanachapa kazi ilihali wenzao wapo kwenye mgomo, wanajibu hv, Tumegomea kazi ya kufundisha lakini siyo ukuu wa shule. Sawa hujagomea ukuu wa shule umegomea kazi ya kufundisha na wakuu wengi kama si wote hawanaga vipindi madarasani hvy huwa hawafundishagi. Hvy sk ya mgomo wao huendelea na kazi zao za sk zote kama hakuna mgomo. Hvy watu hawa hawana impact yoyote kwenye mgomo wa waalimu. AU WANAJAMII MNAWAONA WAKUU WA SHULE HAPO WANATIJA GANI?TENA WAO WANAMARUPU RUPU MENGI WANALIPWA JUMLISHA NA WIZI WA PESA ZINAZOTUMWA KWAO UNADHANI WAGOME KWA SHIDA GANI HASA? PILI, Kuhusu Maafisa Elimu wa Wilaya n.k et nao ni wanachama hai wa CWT!! Hivi unaweza kuniambia inapofika kipindi cha mgomo hawa huwa wanamchango gani kwa CWT na hapo hapo asimame aitetee Serikali na hapo hapo awe rafiki mzuri wa CWT? Hv hawa nao inapofika kipindi cha mgomo huwa wanagoma kufanya nini? Maana hawa hawanaga vipindi darasani. TATU, Ninachoshuhudiaga sk zote ni kuwa Maafisa Elimu wa ngazi za Wilaya nakuendelea na wakuu wa shule huhaha kama mbwa koko aliyekosa bwana wa kumpanda kutisha, kuwashawishi waalimu wenzao wasigome na kukusanya taarifa kuipelekea Serikali kuwa wangapi wamegoma na wasio goma. JE BADO HAO UNASEMA UNAWAPIGANAJI WA KUPIGANIA MASLAH YA WAALIMU? LETENI HOJA NYINGINE TOENI HUO UTUMBO HUMU KWENYE JUKWAA LETU.
 
Back
Top Bottom