SHIDA Yetu Viongozi Wengi, Kila Kitu Ni Siasa Tu!!! Makonda Kwa Kutafuta Njia Ya Kutokea, Kweli Anaweza Kuwashawishi Hao Wamiliki Wa Magari Ya Daladala, Kuwezesha Lengo Lake Kufanikiwa!! Na Hilo Litakuwa Halina Ubishi Kwao, Kwa Vile Wanabembeleza Magari Yao Yasitoke Mijini Na Kupelekwa Pembezoni Mwa Miji, Kutokana Magari Ya MWENDOKASI!!! Ila Shida Kubwa Ni Kwa Wanaotembeza Hayo Magari, Madereva Na Makondakta Tu!! Kwa Vile MATAJIRI Wao Wamegoma Kuwapatia Mikataba Ya Ajira, Badala Yake Wanaendelea Kutafuta HESABU Ya Tajiri Ya Siku, Mafuta Na Posho Zao, Wacha Traffic Barabarani Na DC Makonda Analijua Hilo!!! Kila La Kheri Kwao, Ila Hilo La WAALIMU Kusafiri Bure Ktk. Madaladala, Lina Changamoto Lukuki!!!