Walimu 5 na Mabinti 4 waliosomea usekretari wanahitajika

Walimu 5 na Mabinti 4 waliosomea usekretari wanahitajika

Zambotti

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2016
Posts
1,983
Reaction score
3,670
Wanahitajika
1. Waalimu watano wa Elimu ya Dini ya Kiislam (EDK) jinsia yoyote.

2. Mabinti 4 waliosomea secretary na wenye kujua vizuri Computer

Sifa

1. Awe Tayari kufanya kazi Mkoa wa Tabora

2. Awe na Ujuzi wa kazi

3.Awe Muislamu anaejistiri na muadilifu

Usaili
Utafanyika siku ya Jumamosi 26.06.2021 saa Tatu Asubuhi

Sehemu:
Shule ya Sekondari Alli Hassan Mwinyi

Mawasiliano
0767461600
 
Wanahitajika
1. Waalimu watano wa Elimu ya Dini ya Kiislam (EDK) jinsia yoyote.

2. Mabinti 4 waliosomea secretary na wenye kujua vizuri Computer

Sifa
1. Awe Tayari kufanya kazi Mkoa wa Tabora

2. Awe na Ujuzi wa kazi

3.Awe Muislamu anaejistiri na muadilifu

Usaili
Utafanyika siku ya Jumamosi 26.06.2021 saa Tatu Asubuhi

Sehemu:
Shule ya Sekondari Alli Hassan Mwinyi

Mawasiliano
0767461600
Hapo kwenye dini ndio pamezingua asee, bora wangesema awe tayari kuheshimu dini husika hata kama yeye ni mtu wa imani nyingine. Kwa kufanya hivyo ingepunguza makali ya ubaguzi..
 
Hapo kwenye dini ndio pamezingua asee, bora wangesema awe tayari kuheshimu dini husika hata kama yeye ni mtu wa imani nyingine. Kwa kufanya hivyo ingepunguza makali ya ubaguzi..
Tafadhali fikisha kwa walengwa
 
Back
Top Bottom