Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,215
- 1,077,445
Mkuu. With due respect, ni mara mia kama anafanya hiyo kazi ya halali. Wenye uelewa na integrity tunamwelewa sana kuliko kama angekuwa mnafiki na kugeuza gia kuanza kumsifia mtu ambaye yeye mwenyewe alimtaja kuwa mmojawapo wa mafisadi sugu wa nchi hii pale Mwembeyanga. Historia itampa hukumu nyepesi sana kuliko hii minafiki iliyokigeuza chama kuwa friza la kusafisha na kuhifadhi mafisadi yanayotoka CCM. Akiwa CCM mtu anakuwa fisadi wa kutupwa lakini akihamia huku anakuwa msafi overnight. Haishangazi hata watu wanachanganyikiwa na kushindwa kupambanua who is who. Bado tuna safari ndefu!!!Dr. Mihogo yuko canada anauza supermarket !