Mshughulishaji
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 1,349
- 1,873
Sasa baada ya hapo hao vijana walichukua hatua gani ili kuweka heshima kwa wanaopokea maagizo kitoka juu ?Walionekana ni 'Bangusilo'. Njaa tu ilikuwa inawasumbua.
Sasa baada ya hapo hao vijana walichukua hatua gani ili kuweka heshima kwa wanaopokea maagizo kitoka juu ?Walionekana ni 'Bangusilo'. Njaa tu ilikuwa inawasumbua.
Kwahiyo unamaanisha ni mambo ya kukurupuka kwa mawakili wa serikali na kuitia hasara serikali yetu ya kubana matumizi au?Mahakama iliona hamna kesi na kwamba mawakiki wa serikali wanaisumbua tu mahakama!Ikaamuru waachwe huru
Kuna kikundi cha vijana walikamatwa wakidukua data za tume za matokeo yaliyotumwa toka majimboni. walichokuwa wanakifanya chadema ni kuvadilisha data juu kwa juu zilizotumwa toka majimboni lakini kutokana na nchi yetu kuwa na intelligencia ya hali ya juu walifanikiwa kuwakamata hao wahalifu. Na itakumbukwa kwamba baada ya kukamatwa vijana wao viongozi wa chadema mpaka mgombea wao walichoka sana
Laiti kama marekani wangejua tanzania kuna mabingwa wa IT wangekuja kuwakodi ili Urusi wasifanikiwe mpango wao.
Kosa jingine walilolifanya wahaini hao wa chadema ni kuweka mitambo yao ndani ya nchi wakati wenzao Urusi hawakufanya hivyo.
Tusubiri 2020 chadema wanaweza kupeleka vijana Urusi ili waje wadukue matokeo
Think thriceSiku hizi humu ndani kila mtu anajua. Hivyo vitu ulivyofananisha hata haviendani. Marekani hawaishutymu Urusi kwa ku-hack mfumo wa uchaguzi . Wanachoishutumu ni kwa ku-hack emails za democrats na kuzivujisha wikileaks kitu ambacho wanadhani kime-influence uchaguzi wao. Usifikiri waliingia kwenye mfumo wakabadilisha idadi za kura. Sasa wewe umeandika kihisia tena hata bila usahihi. Nakushauri usiwe unasoma vichwa vya habari bila kufuatilia kwa undani.
NB: Mimi sio CHADEMA ila sipendi maandiko ya upotoshaji
Kwahiyo akina Sen. John McCain ndio wavijiweni? Dig deeper.Bange mbaya sana!
Hakuna nchi hapa duniani inaweza ingilia uchaguzi wa US kwa kuiba kura!Jimbo la Wisconsin wamerudia kuhesabu kura kwa mkono hamna kura ambazo Urus kampa Trump kwa kuiba!Matter of fact Trump alipata kura 163 zaidi
Habari kama Russia alimuibia kura Trump ni za kwa vijiweni tu na hazipaswi letwa hapa
Nakuambia tena IT level ya US haiwezi ibiwa kura na nchi yyt ile duniani
Wapi McCain kasema Urus alimsaidia Trump kuiba kura?Kwahiyo akina Sen. John McCain ndio wavijiweni? Dig deeper.
Polisi ndio wanawatesa mawakili wa serikaliKwahiyo unamaanisha ni mambo ya kukurupuka kwa mawakili wa serikali na kuitia hasara serikali yetu ya kubana matumizi au?
Kweli jamaa waliona mbali....kumbe kuanzisha chama ni ujasiriamali toshaSema kabisa ni cha Mbowe na baba MKWE wake aitwaye MZEE Mtei
Akili za ki.shoga hzoKuna kikundi cha vijana walikamatwa wakidukua data za tume za matokeo yaliyotumwa toka majimboni. walichokuwa wanakifanya chadema ni kuvadilisha data juu kwa juu zilizotumwa toka majimboni lakini kutokana na nchi yetu kuwa na intelligencia ya hali ya juu walifanikiwa kuwakamata hao wahalifu. Na itakumbukwa kwamba baada ya kukamatwa vijana wao viongozi wa chadema mpaka mgombea wao walichoka sana
Laiti kama marekani wangejua tanzania kuna mabingwa wa IT wangekuja kuwakodi ili Urusi wasifanikiwe mpango wao.
Kosa jingine walilolifanya wahaini hao wa chadema ni kuweka mitambo yao ndani ya nchi wakati wenzao Urusi hawakufanya hivyo.
Tusubiri 2020 chadema wanaweza kupeleka vijana Urusi ili waje wadukue matokeo
Dora=dola?Chadema hakipo kwaajiri ya kushika dora, bali ni chama na kitega uchumi cha watu.