Wakwetu03 Senior Member Sep 15, 2010 190 81 May 10, 2011 #1 Karibia kila mtu aliacha shughuli zake za kupalilia migomba ya matoki na mabhifu ili ashiriki mkutano wa CDM,ona mwenyewe
Karibia kila mtu aliacha shughuli zake za kupalilia migomba ya matoki na mabhifu ili ashiriki mkutano wa CDM,ona mwenyewe
Meritta JF-Expert Member Apr 26, 2011 1,303 293 May 10, 2011 #2 kweli nimeamini watu wanahitaji mabadiliko kiukweli kweli:israel:chek walivyoitikia wito.
Wakwetu03 Senior Member Sep 15, 2010 190 81 May 10, 2011 Thread starter #3 kuna mzee mwenye kadi ya mwaka 1984 ya chama cha magamba aliikabidhisha CDM na kutwaa ya CDM ma'swagga said: kweli nimeamini watu wanahitaji mabadiliko kiukweli kweli:israel:chek walivyoitikia wito. Click to expand...
kuna mzee mwenye kadi ya mwaka 1984 ya chama cha magamba aliikabidhisha CDM na kutwaa ya CDM ma'swagga said: kweli nimeamini watu wanahitaji mabadiliko kiukweli kweli:israel:chek walivyoitikia wito. Click to expand...
Mvaa Tai JF-Expert Member Aug 11, 2009 6,159 4,443 May 10, 2011 #4 Nchi hii inahitaji maombi ili iondokane na hiki kinachoendelea nchini kwetu, hivi inawezekana watanzania hawa walimchagua kikwete pamoja na kwamba aliwadanganya "maisha bora kwa kila mtanzania", pole watanzania mnao ongozwa na mtu mliyechaguliwa
Nchi hii inahitaji maombi ili iondokane na hiki kinachoendelea nchini kwetu, hivi inawezekana watanzania hawa walimchagua kikwete pamoja na kwamba aliwadanganya "maisha bora kwa kila mtanzania", pole watanzania mnao ongozwa na mtu mliyechaguliwa
Dumelambegu JF-Expert Member Jan 28, 2011 1,052 257 May 10, 2011 #5 Hata chama cha magamba kikiminyaminya, mageuzi ni lazima!