NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,729
Zilizuka POROJO zisizo na mashiko za kusema kuwa Beki kitasa Dickson Job ni mfupi na Hana hadhi ya kuichezea Yanga sc.
Mwamba hakuwajibu Wala hakuteteleka aliacha kazi ionekane, kweli huyu bwana mdogo ni mtu kazi haswaa na tuna kila sababu ya kujivunia beki huyu kitasa katika taifa letu.
Mwamba hakuwajibu Wala hakuteteleka aliacha kazi ionekane, kweli huyu bwana mdogo ni mtu kazi haswaa na tuna kila sababu ya kujivunia beki huyu kitasa katika taifa letu.