Habari zenu: mimi ninatatizo moja mara kwa mara nikila pilau kesho kesho yake naharisha halafu tumbo nalisikia kama linawaka moto Kuna mtu mwingine huwa anajickia kama mimi namimi pilau nalipenda naombeni msaada
Msaada uliopo hapa ukila kitu halafu kikiwa kinakudhuru tumboni dawa yake kuu ni kukiacha achana na pilau yenye mafuta mengi ndio yanayokudhuru mkuu.@Sunuka
Inawezekana una allergy ya viungo vya pilau. Kuna vitu vingi Kama cinnamon , black pepper, cardamom na cumin. Labda mwili wako hauelewani na hizi spices.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.