KISHINDO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 2,113
- 1,799
huu mwezi ni Special kwa migomo nini walianza wanafunzi vyuoni leo tena ndugu zetu hawa na kesho je nani atahusika????
Wapigwe tu! / ulemavu sio kigezo cha kuvunja taratibu za nchi wana haki sawa na watu wengine / serekali iache ulegelege kwa mambo ya kipuuzi namna hii