Engineer Hassan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 477
- 503
Acha kudanganyaNakumbuka miaka yetu environmental engineering ilikua inatolewa na ardhi peke yao, nasikia miaka ya karibuni na udom nao wanatoa!!
Okey iko hivi...
Environmental engineering ni kama inaendana kwa kiasi fulani na civil/water resources engineering ila wao kazi yao kubwa ni kuhakikisha mazingira yanabaki salama baada ya shughuli za mwanadam, mfano kuhakikisha kuna sewerage systems zinazofanya kazi vizuri, kuset/kudesign waste water treatment plants hii ni mifano tu ila nao pia wanasoma engineering drawings, engineering design na mambo kama hayo!!
Kwenye hii kozi utakutana na physics, kemia kwa sana, hesabu za kutosha na bios kishkaji!! Infact ni kozi nzuri sana!!
Tukija kwa industrial engineering (duuh nimekumbuka tanzania ya viwanda hahaha)...anyways, hii ni kama subset ya mechanical engineering wao wanako zaidi kwenye viwanda. Wana kazi kubwa kuhakikisha kiwanda kinaoperate at it maximum na kuhakikisha safety mda wote ndani ya kiwanda.
Japo inaweza kuwa nzuri ila kwa ushauri wangu its better ukasoma mechanical au electrical engineering kuliko hii ya industrial!!
Nimependa ID yako ila sijafurahishwa na comment yako hasa mstari kwanza, that is not how engineers suppose to put forth their views! Otherwise wise ushauri wako ni mzuri!!Acha kudanganya
Municipal and Industrial Services Engineering ni mtoto wa Environmental Engineering
Hamna utofauti mkubwa.
Hawa wanatofautiana kwa kiasi kidogo sana.
Kwa nyongeza: kuna surveyer anaye mwelekeza mining engineer na geologist njia za kupita na kuna chemical and processing engineer anaye wasiliana na metallugist nini cha kufanya.Metallurgy and mineral process engineering ni kozi inayodili na uchenjuaji wa mekanikia(concetrate) ili kupata madini yenye soko mf (gold. Copper. Cardium .nikel etc)
Katika mgodi kunahitajika watu wa taalamu tatu hadi nne (geologistmining engineer, mineral process engineer/metallurgist) na wengine ni environmental engineer.
GEOLOGIST kazi yake ni kufanya utafiti sehamu gani kuna madini na ni ya aina gani na ipo kwa kiwango gani kwenye mwqmba husiks.
MINING ENGINEER yeye anapokea ripoti kutoka kwa geologist kuhusu uwepo wa madini husika katka eneo hilo. Yeye anatumia ujuzi wake kuchimba mwamba huo. Na mara nyingi huwa mawe au michanga then anampelekea metallurgist.
METALLURGIST yeye anachukuwa huo mchanga na kutenganisha mchanga na madini. Madini yakipatikana yanakuwa tayari kwa kuuzwa
Mfano kwa mwaka wa kwanza anachosoma EE ndicho atakachosoma Mise kwa semester ya kwanza.Nimependa ID yako ila sijafurahishwa na comment yako hasa mstari kwanza, this is not how engineers suppose to put forth their views! Otherwise wise ushauri wako ni mzuri!!
Karibu!
mkuu namanisha ya USA kama umemaliza diploma ya uhandisi ni vigezo gani wanachukua kukuchagua?Tz hatuna MIT mkuu!! Au unaongelea ile ya USA??
Kama ulimaanisha MUST basi lazima uwe na pcm kwa form6 au uwe na diploma ya engineering!!
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu namaniya mit USA kama umemaliza diploma ya uhandisi, ni vigezo gani wanafuata ili upate kuchaguliwa?Tz hatuna MIT mkuu!! Au unaongelea ile ya USA??
Kama ulimaanisha MUST basi lazima uwe na pcm kwa form6 au uwe na diploma ya engineering!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo EE ipo poa zaidi kuliko Mise,Mise ni subset ya EE.Oooh vizur kaka uko poa but vp kat ya Mise na EE ipi nzuri zaidi???
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeelezea vizuri sana!!
Ila baada ya metarullugy si ndio anakuja mineral processor (mineral processing engineer)??
Nimesema hivyo maana nakumbuka miaka hiyo udsm walikua nayo!Mineral processing ni moja kati ya part ya metallurgy. Ndo maans kwa tanzania hawajazitenga huwa ni cozi moja
Sio kweli.Kwa nini ma- Engineer wengi mnakufa maskini licha ya kusoma vitu kuntu?? Wengi wenu mnaishia kuendeshwa na wafanya biashara kwa ujira wa thumuni na kukuza vichwa mkivaa helmet na mi- overoli yenu michafu.
Ushauri wa bure:
Ukitaka kuwa na pesa achana na mambo ya engineering, labda kama unatafuta misifa isiyo na tija.! Wekeza kwenye ujanja wa elimu ya kusaka mapene acha kupoteza muda.
Nimemaliza form six PCM mwaka 2017 na nimepata D masomo yote. Ninapenda kosoma kozi yoyote ya uhandisi au masuala ya architecture hapo UDSM au Ardhi University. Je kwa ufaulu huu unanishauri niapply kozi gani kulingana na ushindani uliopo na soko la ajira mara baada ya kumaliza kozi? Natanguliza shukrani zangu kwakoHabari wana JF?
Kwa vijana wanaotaka kusoma kozi za uhandisi na hawajui wapi pa kuanzia tafadhali usisite kuuliza swali hapa ili uweze kujuishwa unachotaka kujua!!
Nitatoa maelezo kuhusu kozi mbali mbali za uhandisi na changamoto zake hasa ukiwa chuoni!
Pia unaweza kupitia hapa ili kuona baadhi ya mada zilizoanzishwa kuhusu kozi za uhandisi kwa hapa kwetu tanzania...
Ufafanuzi wa kozi za engineering kwa wanaotarajia kujiunga na Engineering (wanao apply chuo)
Nakaribisha maswali...
Kwa level ya degree hamna ila kwa level ya masters nenda nelson mandela university pale arusha wana hiyo kozi!Ni chuo gani bongo kinatoa degree ya nuclear physics engineering ?