Nimeikuta hii picha ya ndege mpya
Ingawa mimi sio mpandaji wa ndege, ila hakika mhe Magufuli tutamkumbuka.
Picha inajieleza.
View attachment 498334
Fikiri tuu hvyo hvyo na ubongo wko wa kukuNafikiri ni ya Dubai kwa ubia na TZ
Ujue unaongea na mume wa mama yakoFikiri tuu hvyo hvyo na ubongo wko wa kuku
Unamkumbuka kwa kuwa hizo fedha za kununulia ndege kazitoa mfukoni mwake au?Nimeikuta hii picha ya ndege mpya
Ingawa mimi sio mpandaji wa ndege, ila hakika mhe Magufuli tutamkumbuka.
Picha inajieleza.
View attachment 498334
Wewe una ubongo wa mbuFikiri tuu hvyo hvyo na ubongo wko wa kuku
Ni kwa kutumia kodi zetuKumkumbuka lazima
Ngoja SGR ikamilike,Tazara,Ubungo,Zile Kota za juzi hapo
Tutamuelewa Rais wetu tu
Ni muda utaongea
mandojo +domokaya -lowasa +Sumaye respectively wangeweza hata kununua tairi au zingeishia mifukoni... Fikiri.... Chukua hatuaNi kwa kutumia kodi zetu
Nikodi zetu hatoi pesa mfukoni mwakemandojo +domokaya -lowasa +Sumaye respectively wangeweza hata kununua tairi au zingeishia mifukoni... Fikiri.... Chukua hatua
Nani kakwambia kuwa mmawia ni utaifa?wewe katege panya na njeremba ndio kazi utakayo iweza na kupika upupuWewe mmawia wa wapi? Wenzio wako Msumbiji.
Ni kweli mkuu hiyo picha ni ya mwaka 2012 utawala wa JK ulijaribu kuleta ndege hiyo tena tuwe tunakodisha ila tukashindwa kuimudu.Pole sana Mheshimiwa. Hiyo ni picha ya 2012 na ni ya Boeing 737 siyo bombardier au dreamliner za JPM