Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,406
- 79,652
Mmh Kuna ambao hatuaminiki, siku akiijua ID yangu balaa lake mweeee.Nakazia, ila wangu mie sio mtata labda kwakuwa ananiamini sana
Mmh Kuna ambao hatuaminiki, siku akiijua ID yangu balaa lake mweeee.Nakazia, ila wangu mie sio mtata labda kwakuwa ananiamini sana
Kuchat sio tatizo inategemea unachat nini mfano wewe unachat nami mda huu babe wako akikuta chat hawezi kuchukia na endapo atachukia basi ana matatizo.
Rule namba 2 lazima kulogout asitumie app atumie browser
Mkuu umekuwa too specific, hiyo hata mi sikubaliani nayo. Suala la kutojiamini nazungumzia katika muktadha wa jumla kuwa mwamba hamruhusu bibie kujihusisha na jf mbali na kusoma. ...ukweli tunaujua wote kuwa jf ina mambo mengi sana ya kutujenga mbali na mapenzi.Hii sentensi ya kujiamini inaniboaga sana!
Hivi kwa hali ya kawaida mke wangu akute mie nachat na mademu wengine kimahaba then nimwambie there is nothing serious mke wangu, mbona hujiamini? Hivi inakuja kweli hio?
Yani mna flirt around na kutumiana vi emoji vya makopa na kuchekeana full time hapo iwe ameshashuhudia more than once, sidhani kama ukileta swaga za hajiamini zitakuwa na tija kweli?
Nikutumie Hera yote ya mauzo ya pamba we mwanamuke?Sawa naajabika, msemaji wa wanamuke
Mmh Kuna ambao hatuaminiki, siku akiijua ID yangu balaa lake mweeee.
Kwa JF itakuwa ni wivu tu! 🤣🤣🤣Mkuu umekuwa too specific, hiyo hata mi sikubaliani nayo. Suala la kutojiamini nazungumzia katika muktadha wa jumla kuwa mwamba hamruhusu bibie kujihusisha na jf mbali na kusoma. ...ukweli tunaujua wote kuwa jf ina mambo mengi sana ya kutujenga mbali na mapenzi.
Umenitoa mbali nakumbuka,napiga picha taswira nakosaNdy wanamuke, sawa msemaji wa wanamuke
Kuna mchepuko wangu alinifungulia uzi humu lakini nilivyomuuliza akajidai hajui JF kabisaRule namba 3: jifanye huijui jf kabisaaa Wala usiiongelee
Alafu sasa mwenyewe aje amtongoze amkubalie. Atakiona cha motokwani ukilogin humu huwa unamtangazia???
Simply kama huwa anakufatilia na ID yako tafuta ID nyingine uje kujirusha, JF ina utamu wake.
Ha haa inawezekana ulijishtukia tu uzi haukuwa unakuhusuKuna mcepuko wangu alinifungukua uzi humu lakini nilivyomuuliza akajidai hajui kabisa
Ulikuwa unanihusu. Tatizo aliongeza chumvi.Ha haa inawezekana ulijishtukia tu uzi haukuwa unakuhusu
pole sana