Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,406
- 79,653
Yeah but sometimes Hakuna namnaKifupi maisha ya kujificha ni magumu sana
Yeah but sometimes Hakuna namnaKifupi maisha ya kujificha ni magumu sana
Mimi ni mkolomije Wa chato sasa wewe unaajabika nini,Mimi ni mlaji Wa wanamuke kama weye.Ndy wanamuke, sawa msemaji wa wanamuke
Kumbe wife ndio unavyo nifanyia hivyo?
Rule namba 3: jifanye huijui jf kabisaaa Wala usiiongelee
Unaweza kusahau kufuta browsing history ukafumwa, bora utumie app ujifanye unaperuzi kama guest
Anajua humu kuna mafwisiukizoeana nayo ni hatari katika ndoa yenu.Nashangaa. Mimi, hubby ndo aloniambia nijiunge jf. Napenda sanakusoma. Akajua huku kunanifaa. Japo hapendi niwe nacomment
Sure! Anayekuzuia kuwa jf hajiamini au la sivyo na yeye ni mwaribifu kama waaribifu wengineNaipenda jf kuna mambo mengi SNA ya kufurahisha na sio tofauti jaman
Sawa naajabika, msemaji wa wanamukeMimi ni mkolomije Wa chato sasa wewe unaajabika nini,Mimi ni mlaji Wa wanamuke kama weye.
Eeh pole sanaaNdo ninavyofanya hii I'd yangu haijui naingia mala moja kwa mwez ila nje naperuz as a guest naenjooy tu ila kucomment nashindwa ila sometime navujiwa na umbeaaa
Hebu mwambie wewe Da dina...Rule namba 2 lazima kulogout asitumie app atumie browser
Hebu mwambie wewe Da dina...
Kwani lazima utumie App, JF ukitumia chrome ni tamu hatari.
Nakazia, ila wangu mie sio mtata labda kwakuwa ananiamini sanaRule namba wani: HATAKIWI KUJUA UNATUMIA JF
Rule namba 3: jifanye huijui jf kabisaaa Wala usiiongelee
Na hapo ndio tabu inapoanzia. We ukijua ni mke wa mtu unapaswa kuvunga tu. Achana na mambo ya ajabu ya kuchat na wanaume wengine maana utaishia kutongozwa tu.Si bure lazima alikuta una mchepuko unachat nae.
Hii sentensi ya kujiamini inaniboaga sana!Sure! Anayekuzuia kuwa jf hajiamini au la sivyo na yeye ni mwaribifu kama waaribifu wengine
Kuchat sio tatizo inategemea unachat nini mfano wewe unachat nami mda huu babe wako akikuta chat hawezi kuchukia na endapo atachukia basi ana matatizo.Na hapo ndio tabu inapoanzia. We ukijua ni mke wa mtu unapaswa kuvunga tu. Achana na mambo ya ajabu ya kuchat na wanaume wengine maana utaishia kutongozwa tu.
Ni kweli kabisa, ila wanaume wengi wanapenda flirting around! Ukiona ameanzisha chats mtaanza vizuri tu ila mtajikuta mnaelekea deep kadri siku zinavyokwenda, mara ataanza kukuchimba chimba kisha kukusifia sifia mwisho anatengeneza mazingira ya kuombana uchi tu.Kuchat sio tatizo inategemea unachat nini mfano wewe unachat nami mda huu babe wako akikuta chat hawezi kuchukia na endapo atachukia basi ana matatizo.
Eee ndo hivyoHahaha ndio mnavyo tufanyia sindio ?