kwa anaejua, je ni document zipi na zipi natiwa niwe nazo siku ya registration.
na kwa anayejua taratibu zote za mwanzo ninazotakiwa zifanya kabla ya kuanza kula shule.
Pia kwa mwenye ufahamu je majina yatakayotolewa na TCU hiyo tar 22 yataambatananishwa na majibu ya bodi ya mikopo?
na kwa anayejua taratibu zote za mwanzo ninazotakiwa zifanya kabla ya kuanza kula shule.
Pia kwa mwenye ufahamu je majina yatakayotolewa na TCU hiyo tar 22 yataambatananishwa na majibu ya bodi ya mikopo?