hongera mkuu kwa kuja ifm mimi pia naingia 2nd year
hpo nachukua insurance na risk managmnt ki ukweli
chuo ni kizur bt ukijisahau na ukaacha kufanya
kilichokuleta pale ndugu chuo utakiona kigumu....anywai
congrats
wadogo zangu amjambooooo..
thanx alot bro langu tena xana jiandae kunipokea mdogoako....sory bro kujisahau kivpi samahan ili njipange
ki ukweli pale kuna watoto wazur kinoma kk na pia kuna masomo ni magumu so usipo kuwa makin daah acha kk first semester tu usharud home
hahahaaaaha watoto wa posta
Woza woza..
Ifm pale center wajanja wote tutakutana pale.
Niaje bandugu.
kwani kufungua itakuwa tarehe ngapi?
Ifm wanafungua lini?