
Sasa hapo ndo sijaelewa kibisa, ngoja nimpe jirani harafu nitarudi!!!
raha au karaha?Nimekuita hapa si raha zako
Halafu utakuta watu kama hao kwenye siasa wana kazana kumsema makonda na magufuli hadi wanatoa jasho.
Wakati wanafanana nao sema wenyewe wanakuwa kina makonda na magufuli wa mapenzi ya watu.
HahahaaNakupenda iceman3d na unajua
Unaona watakavyotoa macho Ahhahahahaha,,
Watu wanataka kunyapia nyapia dyudyu yakoCheka mwaya aibu yahoo hahahahh