Wale wa tumaini university makumira

oxlade

JF-Expert Member
Jul 8, 2012
601
94
mliochaguliwa makumira, ni vizuri mkautumia huu uzi kuuliza maswali mbalimbwli kuhusu chuo na vingi mnavyotaka kuvijua. wadau wa makumira watawapa majibu na msaada hapa.
vitu muhumu ni kuwa
1. ni vizuri ukatafuta bima ya afya ili usave hela, maana kama huna utatakiwa kulipa laki moja ukifka chuo
2. mnaweza kujichanga wawili mkatafuta chumba nje mapema maana accomodation inasumbua, so ka mnaweza kutafuta vyumba kwa muda huu ni vzuri zaid, gharama ni kuanzia sh 40,000 nw kuendelea kutegemea na hali, mazingira na chumba kilivyo.
3.wadada pale haparuhusiwi suluari so mjipange na nguo ndefu.


kwa sasa ni hayo tu, mengine wengine wataongezea na kama kuna maswali usisite kuuliza

cc: Meljons
1000 words
ajili ibrahim

jov
 
Last edited by a moderator:
mliochaguliwa makumira, ni vizuri mkautumia huu uzi kuuliza maswali mbalimbwli kuhusu chuo na vingi mnavyotaka kuvijua. wadau wa makumira watawapa majibu na msaada hapa.
vitu muhumu ni kuwa
1. ni vizuri ukatafuta bima ya afya ili usave hela, maana kama huna utatakiwa kulipa laki moja ukifka chuo
2. mnaweza kujichanga wawili mkatafuta chumba nje mapema maana accomodation inasumbua, so ka mnaweza kutafuta vyumba kwa muda huu ni vzuri zaid, gharama ni kuanzia sh 40,000 nw kuendelea kutegemea na hali, mazingira na chumba kilivyo.
3.wadada pale haparuhusiwi suluari so mjipange na nguo ndefu.


kwa sasa ni hayo tu, mengine wengine wataongezea na kama kuna maswali usisite kuuliza

cc: Meljons
1000 words
ajili ibrahim

jov

baba nimekusoma but vp kuhusu taaluma,?but ni ukweli usio pingika research na proposal za makmix ziko shalow mbaya,mm nimepitia bahadhi ya research zao zimekubaliwa but was very poor,ata lecture za watu wa ed not much gd, thkx karibu leganga,
 
Last edited by a moderator:
baba nimekusoma but vp kuhusu taaluma,?but ni ukweli usio pingika research na proposal za makmix ziko shalow mbaya,mm nimepitia bahadhi ya research zao zimekubaliwa but was very poor,ata lecture za watu wa ed not much gd, thkx karibu leganga,

mkuu siamini katika hilo, me naamini makumira kiacademicwako safi tu kama vyuo vingine
 
mkuu siamini katika hilo, me naamini makumira kiacademicwako safi tu kama vyuo vingine

boss najua kwa wale wanaosoma makumix lazima watete chuo chao,but for sure elimu inayotolewa na maukumira ni ya kawaida sana,kwangu,thas y nimesema taaluma yao ni moderate,ukipangwa makumira usiwaze we nenda cos akuna ujanja,but ujue nikibongobongo tuuuuu,
 
Da habari za makumira zanivutia sana ila oxlade ktk mazungumzo yako haujagusia kùusu masuala ya vyakula yako vp ghali xana au màana mm npo mbeya uku kwetu jero unakula ndiz za kushiba hili ni jiji la mchele safi,maharage,viaz,mihogo,ndiz na vyakula vingine vingi xaxa vp kwa mkoa wa àrusha
 
Bishop@aaah mzaz bac inatosha ucpondexana cc tunataka kujua tuanzie ili tuweze kusoma hapo makumira mambo mengine tutajionea wenyewe ukouko mkuu so ucponde jomba ur discouraging our future
 
Da habari za makumira zanivutia sana ila oxlade ktk mazungumzo yako haujagusia kùusu masuala ya vyakula yako vp ghali xana au màana mm npo mbeya uku kwetu jero unakula ndiz za kushiba hili ni jiji la mchele safi,maharage,viaz,mihogo,ndiz na vyakula vingine vingi xaxa vp kwa mkoa wa àrusha

kama utakaa geto toka na mchele huko huko home, vyqkulqnsi ghali sana, sahani inaanzia biku mpaka buku mbili, inategemea na sehemu utayolia, maana kunq high quality na zile za hali ha kawaida so itakuwa ni ww

ila chips mkuu sio kama za mbeya, huku plate ni buku jero halafu ni ndogo sana, wewe jipange tu uje chuo
 
Ata mim ninavyojua,ni kwamba mambo ya taaluma inadipend na mtu,b/coz unaweza maliza udsm,na bado ukawa nyau kitaaluma.:pound:
 
Back
Top Bottom