wale wa sua mkopo tayari tumeshapewe

wale wa sua mkopo tayari tumeshapewe

wilsonilanga

Member
Joined
May 26, 2013
Posts
79
Reaction score
14
mungu ashukuriwe maana matumbo yalikuwa joto.Ila majina yanapatikana kwenye website ya sua
 
Sababu ni kuwa sua&udsm wamekamilisha sidhani ka kuna batch nyingine toka vyuo ivo.
 
Duuh majanga tuu mwaka huu kwel kazi tuu 662 out of 4000 na kitu
 
Back
Top Bottom