Wale Wa St Joseph Dar

Wale Wa St Joseph Dar

Sossy Mwasi

Senior Member
Joined
Jul 19, 2015
Posts
190
Reaction score
23
Wakuu Wale Tuliochaguliwa St Joseph Ya Dar Tujuane Na Kujuzana Kuhusu Chuo Chetu Chenye Sheria Kibao Kama Seminary..Mm Ntakua Mechanical Eng..
 
vp basi weye uelewa juu ya chuo iko cha md kilichopo boko atujuze kidogo...........saha kuhusu hostel ,michango na mambo mengine.....

Nawasilisha wakuu..........

wakuu mm mwenyew cjayajua hayo bdo...nloyopata ni kua chuo chetu lazima tujfunze discpline..kwenda chuo kla cku ni lazma bla kukosa coz wanaita majina na pia plus paper za mara kwa mara
 
wakuu mm mwenyew cjayajua hayo bdo...nloyopata ni kua chuo chetu lazima tujfunze discpline..kwenda chuo kla cku ni lazma bla kukosa coz wanaita majina na pia plus paper za mara kwa mara

aah duh basi ni hatari kwakweli basi tutaenda jionea ila nina uhakika kwa wale wa 1st round watakua na info flani muhimu za kutujuza.........
 
aah duh basi ni hatari kwakweli basi tutaenda jionea ila nina uhakika kwa wale wa 1st round watakua na info flani muhimu za kutujuza.........

We Acha Tu Ningekua Na Uwezo Ningehama Chuo But Cjui Kitu Juu Ya Huo Utaratibu Wa Kuhama
 
Back
Top Bottom