Wale wa nacte

Joined
Sep 22, 2014
Posts
58
Reaction score
3
Mbona kwenye profile yangu hasa kwenye vyuo nilivyochagua isipokuwa kimoja capacity vinaonesha "0"???? na hicho kimoja capacity yake inabadilika badilika? maana mara ya kwanza capacity ilikuwa 100 baadae ikachange kuwa 94 ikarudi 100 na sasa 90! Hivi ni kwann inakuwa hivyo na inamaana gani???????
 
mbona selection zishatoka mkuu, wewe bado unaangaika na hayo macapacity¤!
 
heri kidogo umenitoa presha maana nilikua namuwazia mwanangu hapa akikosa mwaka wote nimpeleke akasimamie mashamba uko

Uliomba Degree Gan Au Faculty?Maana Hata Kwenye Afya Kuna Degree Au Ndo Arts Studies?
 
Aisee cjui inakuaje kwa sisi wa diploma mbona kama form six wanapendelewa sana kuliko diploma nafasi zikijaa ndo wanakumbukwa wa diploma ina uzi sana yaan unaambiwa admission capacity ni 0.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…