Wale wa NACTE waliochaguliwa UDSM

Wale wa NACTE waliochaguliwa UDSM

neurosurgeon

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2015
Posts
376
Reaction score
355
za asubuhi wakuu nimewapigia office ya adimission asubuhi hii wamesema bado wanasubiri majina mengine kutoka kwenye college husika ila hawana jibu la mojamoja kama watatoa round nyingine au la hivyo baadae nitawapigia kujua hatima yetu hivyo tumuombe mungu sana
 
Mkuuu nashukuru sana kwa taarifa eeendelea kuwapigia nanakuomba utupe update kwa kila linalo endelea ikibidi twende Nacte kufuta selection ya udsm mungu ibariki Tanzania
 
za asubuhi wakuu nimewapigia office ya adimission asubuhi hii wamesema bado wanasubiri majina mengine kutoka kwenye college husika ila hawana jibu la mojamoja kama watatoa round nyingine au la hivyo baadae nitawapigia kujua hatima yetu hivyo tumuombe mungu sana

Mkuu vp uliwapgia tena?...nshachaganyikiwa kabsaa..mkopo umesoma but confirmation from udsm from udsm!!!!????...yaan daa!!
 
Mkuu vp uliwapgia tena?...nshachaganyikiwa kabsaa..mkopo umesoma but confirmation from udsm from udsm!!!!????...yaan daa!!

Yaan umepata mkopo bila chuo kukucomfirm...?
 
Hongera sana
Kwa kozi gan and chuo uwaendee kwa babu wasikukate

Medicine kaka...yaan tcu..nacte & loan board washamaliza yao...tatzo confirmation...ukienda wanakwambia kama hujaona jna lako kwenye website ucje!!
 
Mkuu vp uliwapgia tena?...nshachaganyikiwa kabsaa..mkopo umesoma but confirmation from udsm from udsm!!!!????...yaan daa!!

yaniliwapigia tuombe mungu kesho wamaweza wakatoa round nyingine ila kama tutakuwepo au la mungu ndiyo anayejua
 
yaniliwapigia tuombe mungu kesho wamaweza wakatoa round nyingine ila kama tutakuwepo au la mungu ndiyo anayejua

Poa mkuu...thanx 4 updates...mungu ndiye mweza wa yote!!...mkuu ulichaguliwa kozi gan?
 
Mtupe feed back uliofatilia hili swala uds
m na nacte
 
nilipata bcom hrm, udsm kwa bcom wanaandalia sana math lazima uwe umepata c or above pia o level uwe na credit kuanzia tatu mkuu
 
Mtupe feed back uliofatilia hili swala uds
m na nacte

Mdogo wangu ni muhanga katika hilo,wala usijidanganye asee,hakuna kitakachofanyika cha msingi usubiri mpaka mwakani uombe tena au wakati wa transfer kama kuna vyuo vyenye nafasi ujaribu kuomba
 
Back
Top Bottom