neurosurgeon
JF-Expert Member
- Sep 22, 2015
- 376
- 355
za asubuhi wakuu nimewapigia office ya adimission asubuhi hii wamesema bado wanasubiri majina mengine kutoka kwenye college husika ila hawana jibu la mojamoja kama watatoa round nyingine au la hivyo baadae nitawapigia kujua hatima yetu hivyo tumuombe mungu sana