Japo ckukiomba hiki chuo ila cna budi kusema asante " tcu " sasa 2juane wenzangu wa " TANGA "
Poa poa joh!! 2po pa 1 vp? chuo kinafunguliwa lini vile?
Chuo kipo eneo linaitwa kange nje kidogo ya mji,karibuni maeneo ya kujirusha kama habazclub,club la-casa chika ,bafanapub,
acha kupoteza wenzio ww, hata semista moja huna ubawaza kujirusha?? unataka ujirushe kwa pesa ya mkopo ya mawazo, ile ni pesa yako ionee huruma,wenzako hiyo hiyo pesa wameitumia kujibana na sasa wanaendesha bizness zao, wewe unawajaza wenzako ujinga, tena chuo chenewe cha kata,walim wa kubabaisha, majengo na facilities nyingine poor!! ungechaguliwa UDSM si ungekuwa unakesha pale UDASA???elimika, acha utoto umekuwa wewe.sory kwa kukupa ukweli mana wengine ukiwaambia ukweli wanasema WAMETUKANWA, ila kaz kwako, sisi tulishagonga mawe yetu ya kutosha, tupo makazini now, so tukiona vijana mnashabikia shangwe zisizo na msingi tunawaonea huruma.komaa piga shule, GPA isiuwe ya kuning'inia then kaongeze mawe yanayoendeleaChuo kipo eneo linaitwa kange nje kidogo ya mji,karibuni maeneo ya kujirusha kama habazclub,club la-casa chika ,bafanapub,