Ukisikia jambo uwe unauhakika na chanzo ulichopata habari, usije ukaleta maada zingine ambazo pengine ulikatiza mtaa ukakuta watu wapo faragha wanatamka watakavyo japokuwa wao hawajitambui; then unakuja mbio mbio kuripoti!!!. Usishindane na aliyeshika mpini, Prof anatengeneza njia ambayo ilikuwa ikitumika hapo awali. Tutazoea tu, huku mwanzoni tutashangaa sana, tutasema mengi, nk lakini itazoeleka na kupendwa hapo baadae!!!. Pole sana kwa yatokeayo Tanzania msimu huu; wahanga wengi na watakuwa wengi, baadae hawatakuwepo wahanga