Thread ni ya kijinga alieianzisha hajielewi mara hawawezi mara walikuwa na VPN kabla sasa hata wewe mwenye android toa VPN yako halafu zima “install apps from unknown sources” uone kama utainstall hivyo VPN kama unavyotamba kuinstall from unknown sources hata mtu wa iphone anaweza akitaka ila kuna hatua za kupitia ungekuwa na iphone ningekuelekeza ila acha nikupuuze tu.
ukiwa na Iphone una access mitandao mingi kwa ku google,huwezi tu kuingia whatsapp,Insta,Twitter na FB
Ni wivu tu mkuu unakusumbua, inferiority complex, mbona tunabrowse vizuri tu.Wasalaam..
Siku zote mkiambiwa iPhone ni kama gereza mnashupazaga shingo ooh...hamna simu kama Apple iPhone, security kubwa sijui blaah blaah....
Tuma za youtube
mummie Mzigua90 umepoteleaga wap jaman?Mbona wapo hewani wengi tu kwa VPN
Wewe jamaa bana, attack thread sio mtoa mada! Utakuwa una shida mahali sio bure!Thread ni ya kijinga alieianzisha hajielewi mara hawawezi mara walikuwa na VPN kabla sasa hata wewe mwenye android toa VPN yako halafu zima “install apps from unknown sources” uone kama utainstall hivyo VPN kama unavyotamba kuinstall from unknown sources hata mtu wa iphone anaweza akitaka ila kuna hatua za kupitia ungekuwa na iphone ningekuelekeza ila acha nikupuuze tu.
Kweli mkuu hata Mimi natumia Android
Wasalaam..
Siku zote mkiambiwa iPhone ni kama gereza mnashupazaga shingo ooh...hamna simu kama Apple iPhone, security kubwa sijui blaah blaah!
Vipi mbona mmetandikwa kombora na wenye mtandao mmetulia tulii toka jana hama insta, gmail, wala ukwaju! Ifike mahali Android ipewe heshima yake inavyostahili!
Android OS is the best ever OS to be invented!
Mpaka ku jail break? Ku void warranty.Thread ni ya kijinga alieianzisha hajielewi mara hawawezi mara walikuwa na VPN kabla sasa hata wewe mwenye android toa VPN yako halafu zima “install apps from unknown sources” uone kama utainstall hivyo VPN kama unavyotamba kuinstall from unknown sources hata mtu wa iphone anaweza akitaka ila kuna hatua za kupitia ungekuwa na iphone ningekuelekeza ila acha nikupuuze tu.
jf naingia,insta naingia,fb naingia.
kimbembe wasap,twitter,youtube,tiktok.