siku moja nlimuokota pale msasani club.tukaenda guest.nikajifanya mjanja nkachukua self.nlipotaka kulala kitanda nikakivuta usawa wa mlango ili asintoloke.ile naamka asubuhi najikuta peke yangu.kuangalia vizuri kumbe nlikuwa nmejichanganya ule mlango ulikuwa unafunguka kwa nje.dah!pombe ni noumer.mia
mia leo umenichekesha vibaya sana lool
yaani we unawajua hawa
madada pouwa wa jiji zima khaaaaa
mkuu hawa viumbe inaonekana wanakuonea sana.mia
hehehehehheeeee hii nimeipenda mzee .mia
Asante kwa kunipa uzioefu. i will be careful nitakapokuwa hapowana tabia mbaya sana.ukiwa unakunywa zako bia ukigeuka unakuta chupa imeondoka dawa yao ni kutumia tarumbeta kama kawa na chupa nikiweka chini ina maana kitu nmemaliza.
hawa viumbe wanatabia ya kuelekeza sehemu ya kulala wakidai ndo pazuri lakini kesho yake ukiamka unajikuta umeibiwa hadi socks.dawa yao haulali hadi majogoo,ukimaliza shida zako ni kuondoka kulala mbele kwa mbele.hawapati kitu tena.mia
Ukiwa mkazi wa Temeke utaenjoy hii porojo.
Siku moja niko Guest pale Kisuma ya Mwembe yanga, nageuza style jamaa nae anahama pale dirishani kutafuta angle murua! Daah wapiga chabo noma.
Dah we noma!!
duh kwa hii thread loh wanaume wa bongo noma
siku moja nlimuokota pale msasani club.tukaenda guest.nikajifanya mjanja nkachukua self.nlipotaka kulala kitanda nikakivuta usawa wa mlango ili asintoloke.ile naamka asubuhi najikuta peke yangu.kuangalia vizuri kumbe nlikuwa nmejichanganya ule mlango ulikuwa unafunguka kwa nje.dah!pombe ni noumer.mia
Ukiwa mkazi wa Temeke utaenjoy hii porojo.
Siku moja niko Guest pale Kisuma ya Mwembe yanga, nageuza style jamaa nae anahama pale dirishani kutafuta angle murua! Daah wapiga chabo noma.
Bebii unakumbuka ulituambia hakuna mwanaume wa mke mmojaduh kwa hii thread loh wanaume wa bongo noma
Bebii unakumbuka ulituambia hakuna mwanaume wa mke mmoja
Ukiwa mkazi wa Temeke utaenjoy hii porojo.
Siku moja niko Guest pale Kisuma ya Mwembe yanga, nageuza style jamaa nae anahama pale dirishani kutafuta angle murua! Daah wapiga chabo noma.
mkuu kweli wale ni MANGURUBANGE.lakini huwezi amin kwamba ndo hao hao unaopishana nao kitaa.lakini ndo hivyo tena sasa hivi imekula kwao.mia
Mkuu ebu nijuze ile kitu ASHUA bado inapatikana hapo? Ni muda mrefu sijapita maeneo hayo
kila kitu unapatasasa hivi pamesha badilishwa jina panaitwa kisuma.sasa hivi wanajenga ghorofa pale.kama una siku nyingi utapotea.mi hata wkend hii ntaenda kumsalimia kaka fulani anakaa maeneo yale.mia
hii thread inafanya nitamani weekend ifike!kunanihii raha bana tena ya usiku kucha na kitumbua kipya!