figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
- Thread starter
- #21
Iko dar maeneo ya sokota,...lakn ni sehemu ya hovyo sana ile.
ni kweli mkuu ile sehemu ni hovyo sana.inatakiwa ukienda pale uwe umelenga unaenda kufanya nini na utakaa mda gani.kama unahitaji sehemu iliyotulia pale sio.ile ni sehemu ya mishemishe.kila mtu anaenda kwa deal lake.mimi ile tabia yao ya kudeki usku hapo tu ndo wananiudhi.ikifika saa10 wanaanza kukuhamisheni meza eti wanadeki.wananiboa ila basi tu.mia