Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,276
- 18,353
Wakuu leo tukiwa tunahesabu muda mfupi kuingia mwaka mpya, niko mwenyewe nikaanza kukumbuka baadhi ya mambo ya ujana plus ujinga niliowahi kuufanya wakati mihemko iko 4G.
Hakika ujana maji ya moto, niliwahi kumtamani mdada flani, alikua na kazi na shepu ilikuepo kiaina plus rangi ya mtume kwa mbali. Sasa nikamuingiza kwenye 18 akajaa.
Kimbembe ni wakati wa promise mara ya kwanza tulionana japo sikua kwenye mood ya kumega, tukapiga stori mingi nikaaga nikasepa, ila katika stori nikabaini demu ana njaa japo anakazi, namimi nilivyokua bahiri sitoagi hela bila kula mzigo kwanza.
Siku nyingine akanipigia simu, oooh baby niko hospital hapa kuna mtu nimekuja kumuona anaumwa uchungu so naomba tuonane nikitoka hapa, kidume nilikua home nacheki TV basi fasta nikavaa nikatoka kufika eneo la tukio nakuta yuko na wifi yake(mke wa kaka yake), tukanywa soda pale stori chache nikaaga.
Sasa niseme kilichopelekea nimuache solemba bila kumega tunda, Mimi hua namsoma mwanamke kwa bidii sana, sikatai kua na mwanamke mwenye njaa wala sikatai kwamba hua sihongi hata 100, nahonga ila kwa sababu maalum. Nilichomsoma yule demu ni kuendekeza njaa, yaani alinichukulia Kama mimi nina mahela mengi sana jambo hilo lilinikwaza mno.
Last time alinipigia simu tukutane tukaduu, huwezi kuamini namkwepa mpaka leo
Nachukulia hili jambo kama sehemu ya ujinga niliowahi kufanya, maana nilitongoza mwenyewe cha ajabu naanza kuzima simu na kublock calls.
Najua watu mliowahi kuwakwepa mademu mpo hebu tupeni uzoefu wenu.
Hakika ujana maji ya moto, niliwahi kumtamani mdada flani, alikua na kazi na shepu ilikuepo kiaina plus rangi ya mtume kwa mbali. Sasa nikamuingiza kwenye 18 akajaa.
Kimbembe ni wakati wa promise mara ya kwanza tulionana japo sikua kwenye mood ya kumega, tukapiga stori mingi nikaaga nikasepa, ila katika stori nikabaini demu ana njaa japo anakazi, namimi nilivyokua bahiri sitoagi hela bila kula mzigo kwanza.
Siku nyingine akanipigia simu, oooh baby niko hospital hapa kuna mtu nimekuja kumuona anaumwa uchungu so naomba tuonane nikitoka hapa, kidume nilikua home nacheki TV basi fasta nikavaa nikatoka kufika eneo la tukio nakuta yuko na wifi yake(mke wa kaka yake), tukanywa soda pale stori chache nikaaga.
Sasa niseme kilichopelekea nimuache solemba bila kumega tunda, Mimi hua namsoma mwanamke kwa bidii sana, sikatai kua na mwanamke mwenye njaa wala sikatai kwamba hua sihongi hata 100, nahonga ila kwa sababu maalum. Nilichomsoma yule demu ni kuendekeza njaa, yaani alinichukulia Kama mimi nina mahela mengi sana jambo hilo lilinikwaza mno.
Last time alinipigia simu tukutane tukaduu, huwezi kuamini namkwepa mpaka leo
Nachukulia hili jambo kama sehemu ya ujinga niliowahi kufanya, maana nilitongoza mwenyewe cha ajabu naanza kuzima simu na kublock calls.
Najua watu mliowahi kuwakwepa mademu mpo hebu tupeni uzoefu wenu.