Gody
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 1,246
- 411
Nakutakia (3g+27)=-3t naona unashangaa nimekutakia nini embu soma vizuri uone
tunavyokokotoa!
NJIA; 3G+27=-3t, Tuna gawanya kwa 3 kila upande:
3G/3+27/3=-3t/3
=G+9+t
JUMLA=G9t
Hivyo Ndivyo TUnavyoagana Wasomi tulobobea KtK Hesabu! Sio Unatuambia G9t Halafu Hautuonyeshi Njia namna gani umeipata!!
tunavyokokotoa!
NJIA; 3G+27=-3t, Tuna gawanya kwa 3 kila upande:
3G/3+27/3=-3t/3
=G+9+t
JUMLA=G9t
Hivyo Ndivyo TUnavyoagana Wasomi tulobobea KtK Hesabu! Sio Unatuambia G9t Halafu Hautuonyeshi Njia namna gani umeipata!!