babayakembuzi
Member
- Jan 22, 2020
- 21
- 16
Yani kuna ngoma kibao zimewekwa ndani WCB, lengo lao kutaka tu kupinzana na Konde Boy.
Eti Rayvany Mr Nyegezi katoa ngoma 5 bada ya jeshi kutoa. Sasa Diamond anasubiri siku tu Harmo akitoa ngoma na yeye atoe zake, hahahahahaha!








Sent using Jamii Forums mobile app
Eti Rayvany Mr Nyegezi katoa ngoma 5 bada ya jeshi kutoa. Sasa Diamond anasubiri siku tu Harmo akitoa ngoma na yeye atoe zake, hahahahahaha!









Sent using Jamii Forums mobile app