Anko maba mlaku sana simtaki tena🤣🤣🤣🤣 wizo umeanza chai zako..!! Anko maba anakuita huko
Sasa inabidi tupunguze Hilo komwe maana limekuzidii linataka kukudondoka 🤣🤣🤣Usiombe funza aote kwenye wowowo, hehehee.
Wowowo litapinda na kugeuka furushi la ngano.
HILI NALO MKALITAZAMEHawajapotea bado ... Weekend nenda Machimbo ya mchanga huko Dondwe, Magereza, Katembee Msanga Zalala kule peku uje na habari hapa sehemu zote hizo zipo Mbele ya Chanika...
Tembelea mule zinapotembea big truck kuna vumbi fulani laiiniii ngano ya bakhresa sio laini ile 🤣
😂😂😂Hawajapotea bado ... Weekend nenda Machimbo ya mchanga huko Dondwe, Magereza, Katembee Msanga Zalala kule peku uje na habari hapa sehemu zote hizo zipo Mbele ya Chanika...
Tembelea mule zinapotembea big truck kuna vumbi fulani laiiniii ngano ya bakhresa sio laini ile 🤣
Unamuogopa atakutoa nyongo 🤣🤣🤣Anko maba mlaku sana simtaki tena
Kutoa na pini au sindanoMimi nilikuwa mtaalamu sana wa kuwatolea watu funza. Namtoa mzima mzima, anatoka na mayai yake.
Na wala mhusika hatoki damu wala kusikia maumivu.
Ila jamani, kama hujaliwa na funza hujui utamu wa kuuma na kutekenyeka. Anawasha unakuna, ile akiwa hatua za awali.
Starlet wakati hata tunda sijala walaku sana nyie na pacha wako maba mfyuuuu 😱Unamuogopa atakutoa nyongo 🤣🤣🤣
Mi unipe starlet yangu usintanie kabisaa!!
Shukrani zielekezwe kwenye ujio wa chachacha na saa sita utanikoma...

chachacha aka utanikoma saa 8. hizi vijana wa leo hawazijui hizi. nitazielezea kwa kina siku moja hapa, inshallah.Naam. Au na miiba.Kutoa na pini au sindano
🤣🤣🤣🤣 anko maba kasema yy ni hb jana kapost pic yakeStarlet wakati hata tunda sijala walaku sana nyie na pacha wako maba mfyuuuu 😱
ndio mkuuDah nimicheka funza wanakulatua mpaka miguu inapinda
Sawa sawaNaam. Au na miiba.
Tulikuwa km ma mbuziFunza ilikuwa tishio sana miaka hiyo. Yaani kwa tuliozaliwa hadi miaka ya 80 na 90 ni ngumu kukuta mtu hajawahi kutembelewa na funza kabisa. Kimsingi Tanzania ya zamani ilikuwa ngumu sana. Kwa mfano zamani unasafiri kwenye basi wanavuta sigara bila wasiwasi. Ustaarabu haukuwepo. Tanzania nzima ilikuwa inanuka ufukara. Hayati Mkapa ndo alianza kufanya mabadiliko mengi sana.
shida ana mabakuli ndo nachokaa🤣🤣🤣🤣 anko maba kasema yy ni hb jana kapost pic yake
Wizo unamsingizia mbona kasema yy modo sio bonge ety 😜shida ana mabakuli ndo nachokaa
kwa mbele yuko sawa ila nyuma ana kishundu cha hajaWizo unamsingizia mbona kasema yy modo sio bonge ety 😜