Hhahahahhh..!! I can't imagine., Wapi huko..?? Kwa mtogole ama??
Mhh.,, Mtaani kuna mengi, unaeza ukamlisha hata Nnya mwenzio., We hataa hujali kbsa... (( " Kwani ananiona??"))
Ndo mana watu cku izi wanapata hadi minyoo ya Ng'ombe, Nguruwe.,,!!, wengne wanakunywa mafuta