Wakuu nipo njia panda

Wakuu nipo njia panda

Azimio la kazi

Senior Member
Joined
Jun 7, 2023
Posts
138
Reaction score
452
Habari Wana JF natumai wote ni wazima wa afya.

Wakuu siku ya Jumatatu nilikwenda moja ya hospitali hapa mkoani ni ya binafsi (watu wengi wanaisifu), nilikuwa na mumivu chini ya mbavu, baada ya kufanya Ultrasound majibu yakasema na nephritis yaani Figo ya kulia imevimba pamoja Nikakutwa sepsis, daktari akanipatia dawa Flucamox na Metamefac acid.

Lakini kitu cha ajabu siku ya Jana, nikaenda hospitali ya rufaa ya mkoa japo maumivu yalikuwa yamepungua daktari akashauri nifanye ultrasound lakini kitu cha ajabu hadi sasa nashidwa elewa majibu yametoka yanaonesha kuwa sina shida yoyote.

Figo, appendix na upande wote wa kulia upo sawa Kabisa.

Daktari akasema may be inaweza kuwa na ulcers, Lakn utrasound ipo vizur kabisa.

Wakuu Yani sielewi kabisa, nawaza je hospital ya kwanza ya Private walifanya ujanja au hospital ya serikali ya mkoa walikosea kupima . Kwa kweli utofauti wa vipimo huu unanishangaza sana.
 
Mkuu,kabla hujapoteza muda nenda hospital yenye wataalamu wa kusoma Ultra sound vyema au nenda hospital zaidi ya mbili.

Mimi niliumwa appendix kwa miaka zaidi ya miwili,na kila nikienda kupiga ultra sound naambiwa nina infection kwenye kibofu,mara wadudu wanapanda kwenye figo.

Mara ya mwisho li appendix lilivimba nikawa nikila chakula usiku nikiamka asubuhj nakisikia kipo kooni,na mind you nilishameza karibu kila anti biotic unayoijua wewe.

So nimeenda temeke hospital nimelala jamaa wa ultra sound ananiambia tena wadudu wanapanda juu ya figo,Mungu saidia daktari mmoja anaitwa Dr.Lema alikua anampitisha mgonjwa wake aje apige ultra sound,ndo kuhamaki alivyoona ile picha akaema hii ni appendix tena imeshaharibika.

Akamuacha mgonjwa wake akanihangaikia nikafanyiwa operation the same day.

So jitahidi upate mtaalamu na usipite njia za panya kwenye kupata matibabu,mimi ingevuka siku ya pili pengine nisingekua hapa kukupa huu ushauri.
 
Mkuu,kabla hujapoteza muda nenda hospital yenye wataalamu wa kusoma Ultra sound vyema au nenda hospital zaidi ya mbili.
Mimi niliumwa appendix kwa miaka zaidi ya miwili,na kila nikienda kupiga ultra sound naambiwa nina infection kwenye kibofu,mara wadudu wanapanda kwenye figo.
Mara ya mwisho li appendix lilivimba nikawa nikila chakula usiku nikiamka asubuhj nakisikia kipo kooni,na mind you nilishameza karibu kila anti biotic unayoijua wewe.
So nimeenda temeke hospital nimelala jamaa wa ultra sound ananiambia tena wadudu wanapanda juu ya figo,Mungu saidia daktari mmoja anaitwa Dr.Lema alikua anampitisha mgonjwa wake aje apige ultra sound,ndo kuhamaki alivyoona ile picha akaema hii ni appendix tena imeshaharibika.
Akamuacha mgonjwa wake akanihangaikia nikafanyiwa operation the same day.
So jitahidi upate mtaalamu na usipite njia za panya kwenye kupata matibabu,mimi ingevuka siku ya pili pengine nisingekua hapa kukupa huu ushauri.
Dah apa Hatar sana kaka,mana hii hospital ambayo nimetoka Jana ndo kubwa hapa mkoani. Nao wamesema sija shida. Next week naenda mbeya task ya kwanza nataka nikafanye tena ultrasound, pia kesho Kuna polyclinic nataka niende tena
 
Pole sana,fanya kama ilivyopanga,nenda hospitali nyingine,ukute huna tatizo.
 
Dah apa Hatar sana kaka,mana hii hospital ambayo nimetoka Jana ndo kubwa hapa mkoani. Nao wamesema sija shida. Next week naenda mbeya task ya kwanza nataka nikafanye tena ultrasound, pia kesho Kuna polyclinic nataka niende tena
Ahaa kama upo mbeya Kuna kihospital kipo nyuma ya ukumbi wa mpaka kinaitwa CITY CLINIC kama sikosei Kuna mzee bingwa hapo.
Ila nina miaka kadhaa sijafika.ulizia waenyeji kama ipo bado.
 
Kama maumivu yameisha, piga misosi ukizingatia diet, pata muda wa kupumzika. Achana na hofu za maradhi na magonjwa mazito mazito.

Haya mambo ya kwendakwenda hospitali Iko siku unaweza kuambiwa inabidi upelekwe chumba Cha kuhifadhia maiti.
apo mwisho sasa
 
Habari Wana JF natumai wote ni wazima wa afya.

Wakuu siku ya Jumatatu nilikwenda moja ya hospitali hapa mkoani ni ya binafsi (watu wengi wanaisifu), nilikuwa na mumivu chini ya mbavu, baada ya kufanya Ultrasound majibu yakasema na nephritis yaani Figo ya kulia imevimba pamoja Nikakutwa sepsis, daktari akanipatia dawa Flucamox na Metamefac acid.

Lakini kitu cha ajabu siku ya Jana, nikaenda hospitali ya rufaa ya mkoa japo maumivu yalikuwa yamepungua daktari akashauri nifanye ultrasound lakini kitu cha ajabu hadi sasa nashidwa elewa majibu yametoka yanaonesha kuwa sina shida yoyote.

Figo, appendix na upande wote wa kulia upo sawa Kabisa.

Daktari akasema may be inaweza kuwa na ulcers, Lakn utrasound ipo vizur kabisa.

Wakuu Yani sielewi kabisa, nawaza je hospital ya kwanza ya Private walifanya ujanja au hospital ya serikali ya mkoa walikosea kupima . Kwa kweli utofauti wa vipimo huu unanishangaza sana.
hospitali binafsi walikuwa wanakuseti wakupige pesa ndefu za matibabu ya figi.....jiulize kwa nini wanawake wengi wanaojingulia hospitali binafsi wanajifungua kwa operation tofauti na za serikali???????????????????,,,acha mawazo piga kazi!!
 
hospitali binafsi walikuwa wanakuseti wakupige pesa ndefu za matibabu ya figi.....jiulize kwa nini wanawake wengi wanaojingulia hospitali binafsi wanajifungua kwa operation tofauti na za serikali???????????????????,,,acha mawazo piga kazi!!
Nataka kuamin, jtatu nataka niende hospital nyingine private ya wasabato ni chek majibu yao
 
Ni madaktari hawana uzoefu au ni uwezo mdogo wa intake za sasa?
Wameambiwa wafanye mtihani na taasisi ya udaktari,baadhi yao wamenuna
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom