Wakuu nina shida na huu wimbo

Wakuu nina shida na huu wimbo

Kibundi wa getto

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
455
Reaction score
878
Kuna wimbo uliimbwa zamani kidogo na msanii wa bongo simkumbuki lakini alikua na rasi.

Unaimbwa hivi..hoo baby zimbaa,zimbaaa hoo baby zimbakalanyo.

Nahisi kuna kitu unataka kunieleza lakini unasita,kukutana kwa macho kusikuogopeshe,hoo baby zimbaa

Msaada wakuu hii nyimbo inaitwaje na kaimba nani
 
Kuna wimbo uliimbwa zamani kidogo na msanii wa bongo simkumbuki lakini alikua na rasi.

Unaimbwa hivi..hoo baby zimbaa,zimbaaa hoo baby zimbakalanyo.

Nahisi kuna kitu unataka kunieleza lakini unasita,kukutana kwa macho kusikuogopeshe,hoo baby zimbaa

Msaada wakuu hii nyimbo inaitwaje na kaimba nani

Msanii anaitwa: Hardmad.
Wimbo unaitwa: Tamala.
Nasikia aliimba na dada yake.
(check youtube)
I hope utafurahi kuupata wimbo wako pendwa.
 
Back
Top Bottom