Not sure jaribu ana store ya Car accessoriesHuyo jamaa yuko instagram nimuangalie
Nimeiona moja mbez huku last week..ikanichanganya sana..jamaa kakapaka rang ya pink..halaf ndan keupeee peee..kana ngaa balaa..kasafiiiiiii...sjui mtandaon japan vipo hiv..sjui hata vinatokaga wapKibongobongo unaweza kuipata kwa bei nafuu lakini kwa wenzetu bei yake huiwezi
old is GoldEeh baba
Utotoni tuliviita Foro kobeNimeiona moja mbez huku last week..ikanichanganya sana..jamaa kakapaka rang ya pink..halaf ndan keupeee peee..kana ngaa balaa..kasafiiiiiii...sjui mtandaon japan vipo hiv..sjui hata vinatokaga wap
Ingia insta mtafute #old school ridesJamani eeh...mim hii gar kwa wakat huu ndo my dream car...nataka niipate nii pimp kiwe convertable...yaan naipenda hii gar jaman
Anaejua napoweza pata kwa bei nzur na hali nzur....sjui nikaweke engene gan haka
Ushaur wenu wakuu...
Uzi tayarView attachment 1928468
Hata mi kuna kengne nakaona sana njia ya rainbow hukuIchi kigari ninakionaga daily apa home Mbezi beach tangi bovu kuna yankee fulani anakiendesha sema ni vile its kinda of rustyyy at very first time nilifikiri anaendelea kukifanyia refurbish ila now i think hes kinda of funny guy!
Anazo mbili Ila mgumu balaa kuuzaNenda kwa mchapakazi Mwanza, jamaa ukimloga unaweza ukainunua yake 🤣