Wakuu kwani nakosea wapi mabaharia wenzangu!

Wakuu kwani nakosea wapi mabaharia wenzangu!

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,101
Napenda sana kutumia condom ila cha ajabu Mara zote nilizovaa ndomu changamoto inakuja kila nikimaliza game nakuta nimebaki tu na kile kimpira tu kama barabendi condomu yote ilipopotelea sijui hali hii inanitokea kila Mara hata Mara moja condomu haijawahi kutoka salama!
Nimejaribu kununua hata zile za bei kubwa lkn hali ni ile ile nakwama wapi mabaharia wenzangu!?
 
Napenda sana kutumia condom ila cha ajabu Mara zote nilizovaa ndomu changamoto inakuja kila nikimaliza game nakuta nimebaki tu na kile kimpira tu kama barabendi condomu yote ilipopotelea sijui hali hii inanitokea kila Mara hata Mara moja condomu haijawahi kutoka salama!
Nimejaribu kununua hata zile za bei kubwa lkn hali ni ile ile nakwama wapi mabaharia wenzangu!?
Duuuh maendeleo tanzania ni ndoto.
 
Hawa ndo wanastahiri kupimwa mkojo!
Hata hivyo inaonyesha unanyota ya magonjwa pasua kichwa.
 
Kupasuka kwa Condom ni hatari sana! Mara nyingi kunasababishwa na rough sex au condom kutokutunzwa vizuri kama inavyoelekezwa au pia unakuta unavaa kondom kisha unapaka na mafuta mengine wakati tayari INA mafuta.

UKIMWI upo, Kaswende, fangasi, gono, pangusa na mengine yapo! Yapende maisha! Wengine walishakata tamaa! Ukiwa salama Leo doesn't necessarily means utakua salama always.

Ngoma inatesa sana sana
 
Ukiwa mwizi usitake kuiba sana, onja kiduchu tu kabla hujapata pancha! Angalizo:/ AIDS is real
 
Ukiwa mwizi usitake kuiba sana, onja kiduchu tu kabla hujapata pancha! Angalizo:/ AIDS is real
Sawa mkuu!ila tatizo ukionja kiduchu inaitwa shoo mbovu na unaweza kutangazwa kama gwaji boy
 
Kupasuka kwa Condom ni hatari sana! Mara nyingi kunasababishwa na rough sex au condom kutokutunzwa vizuri kama inavyoelekezwa au pia unakuta unavaa kondom kisha unapaka na mafuta mengine wakati tayari INA mafuta.

UKIMWI upo, Kaswende, fangasi, gono, pangusa na mengine yapo! Yapende maisha! Wengine walishakata tamaa! Ukiwa salama Leo doesn't necessarily means utakua salama always.

Ngoma inatesa sana sana
Mkuu hii issue ni serious kweli, labda nahisi kwa vile huwa natumia muda mrefu kidogo inapata moto
 
Mkuu hata Mimi changamoto hii ninayo! Mimi chanzo nimegundua ni kupiga shoo heavy halafu rafu sana
 
Itakuwa show ya kibabe hadi condom inayeyuka!


Hapo inabidi uende kiwandani kabisa wakuchongee special
 
Unapovaa condom hakikisha unaibinya kule kwa mbele ili isiingize hewa, usipofanya hvyo, condom itapasuka kwasababu ya hewa ile iliyoingia ndan ya condom wakat unavaa
 
Napenda sana kutumia condom ila cha ajabu Mara zote nilizovaa ndomu changamoto inakuja kila nikimaliza game nakuta nimebaki tu na kile kimpira tu kama barabendi condomu yote ilipopotelea sijui hali hii inanitokea kila Mara hata Mara moja condomu haijawahi kutoka salama!
Nimejaribu kununua hata zile za bei kubwa lkn hali ni ile ile nakwama wapi mabaharia wenzangu!?
Hahahah... unafanya kukomoa? Pia hufuati maelekezo ya kuvaa. Au ndom kwako ni undersize.
 
Goli moja
Kondomu moja
Huo ndio utaratibu
Swali: Je, ulikuwa ukiufuata huo utaratibu?

Kondomu si vema kuhifadhiwa kwenye mfuko wa suruali
Huo ndio utaratibu
Swali: Je, ulizingatia hilo?

Kondomu kabla ya kuifungua, minya minya kuhakiki kuteleza kwake mle ndani. Kiashiria cha uwepo wa mafuta. Usipoona hivyo, haifai kwa matumizi.
Huo ndio utaratibu
Swali: unazingatia

Kondomu huvaliwa uume ukiwa umeshasimama lakini pia huyo unayeshiriki naye ngono, hakikisha umemuandaa na ameandalika vema. Uke wake utoe ute wa kuruhusu tendo kufanyika pasipo msuguano mkali. Usiwe na pupa kama unatumia kondomu.
Huo ndio utaratibu
Swali: Je, unazingatia

Kondomu haivaliwi kwenye uume uliotiwa viungo (vumbi la Kongo na vitu vya kufanana na hivyo). Zingatia lishe nzuri na mazoezi ili kuimarisha uwezo wa uume wako kupiga mzigo. Hata hivyo si vema kwenda kwa zaidi ya dakika 13 (hapo nitapingwa balaa).
Huo ndio utaratibu
Swali:Je unazingatia hilo?

Kondomu staili yake pendwa ya ngono ni missionary a.k.a gwaji boy style. Usilete ufundi mwingi wa staili za ngono ukiwa na kondomu. Brand nyingi hazina uvumilivu wa maufundi yetu ( najua nitapingwa sana ila ndio hivyo)
Huo ndio utaratibu.

Kila la heri
 
Goli moja
Kondomu moja
Huo ndio utaratibu
Swali: Je, ulikuwa ukiufuata huo utaratibu?

Kondomu si vema kuhifadhiwa kwenye mfuko wa suruali
Huo ndio utaratibu
Swali: Je, ulizingatia hilo?

Kondomu kabla ya kuifungua, minya minya kuhakiki kuteleza kwake mle ndani. Kiashiria cha uwepo wa mafuta. Usipoona hivyo, haifai kwa matumizi.
Huo ndio utaratibu
Swali: unazingatia

Kondomu huvaliwa uume ukiwa umeshasimama lakini pia huyo unayeshiriki naye ngono, hakikisha umemuandaa na ameandalika vema. Uke wake utoe ute wa kuruhusu tendo kufanyika pasipo msuguano mkali. Usiwe na pupa kama unatumia kondomu.
Huo ndio utaratibu
Swali: Je, unazingatia

Kondomu haivaliwi kwenye uume uliotiwa viungo (vumbi la Kongo na vitu vya kufanana na hivyo). Zingatia lishe nzuri na mazoezi ili kuimarisha uwezo wa uume wako kupiga mzigo. Hata hivyo si vema kwenda kwa zaidi ya dakika 13 (hapo nitapingwa balaa).
Huo ndio utaratibu
Swali:Je unazingatia hilo?

Kondomu staili yake pendwa ya ngono ni missionary a.k.a gwaji boy style. Usilete ufundi mwingi wa staili za ngono ukiwa na kondomu. Brand nyingi hazina uvumilivu wa maufundi yetu ( najua nitapingwa sana ila ndio hivyo)
Huo ndio utaratibu.

Kila la heri
hakuna atakaekupinga mkuu, upo sahihi
 
mkuu inaonekana size ya uume wako na kondom haziendani so jaribu kwenda viwandani kama wanaweza kutengenezea special!! yaani mzee baba unapiga show mpaka inapasuka kabisaa!! we noma...

mm nakumbuka iliwahi kunitokea lakini sio kwa style hiyo mm kondom yote ilivuka na ikabaki kwenye K ya mwanamke Ila nilikuja kushtuka baada ya kama dk 10 hivi baada ya kuitafuta kwa sana. changamoto ilikuwa namna ya kumwambia huyo demu kuwa kwenye K yake ndani condom ipo mzee ilikuwa shughuli kwanza nilianza kugoogle kujua kama kuna madhara na njia ambayo inaweza ikatoka bahat nzuri nilifaham na ikabidi nimueleweshe mwenzangu akaenda chooni akaitoa na hapo roho yangu ikatulia!! ndo maana huwa sipendagi kuvaa haya ma mipira maana hayaeleweki kabisa! wakati mwingine mademu wanalamika inawachubua wengine wanakuambia utamu hawausikii vizur yaani ni balaa tupu
 
Back
Top Bottom