Wakuu, kuna walioitwa kwenye interview Pivotech?

Wakuu, kuna walioitwa kwenye interview Pivotech?

Majesty S P

Member
Joined
Sep 24, 2020
Posts
62
Reaction score
87
Tarehe 31.12.2020

Kampuni ya pivotech ilitoa vacancy ya nafasi 5 za Field Operation Officer wakasema ndani ya siku 14 usipopigiwa Simu ujue haujafanikiwa kuitwa napenda kujua kama weshaita baadhi ya watu kwenye interview.
 
Acheni UFALA,tangazo la kazi lilivotoka hamukuja kutuambia ninyi
 
Back
Top Bottom