kasopa
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 302
- 56
Wakubwa zenu heshima ni muda mrefu sikuwepo jamvini naleoo hii nimerudi. na mshukuru mungu kwa kuwapa afia njema na amani na nawapa pole wote waliopatwa na udhuru za hali yoyote mungu ata wajalia
Huko nilipokuwa nimekutana na mwenzangu ana tatizo anahitaji msaada wandugu huyu jamaa kaowa mkewe anaigiza filam za kibongo ni msichana mdogo ndo anachipkia. tatizo jamaa hataki aendelee na hiyo kazi na mtoto kakubali lakini anendelea kisiri tayri filam mbili kaisha fanya kisiri jamaa kagundua na anashaka kuwa kuna ingine ina fanywa kisiri inamsumbua sana kampa mtaji lakini bado anapenda kuuza sura.
jamaa ameahidi kuwa kama atacheza filam ingine anapiga chini ushauri wandugu
Huko nilipokuwa nimekutana na mwenzangu ana tatizo anahitaji msaada wandugu huyu jamaa kaowa mkewe anaigiza filam za kibongo ni msichana mdogo ndo anachipkia. tatizo jamaa hataki aendelee na hiyo kazi na mtoto kakubali lakini anendelea kisiri tayri filam mbili kaisha fanya kisiri jamaa kagundua na anashaka kuwa kuna ingine ina fanywa kisiri inamsumbua sana kampa mtaji lakini bado anapenda kuuza sura.
jamaa ameahidi kuwa kama atacheza filam ingine anapiga chini ushauri wandugu