Jicho la Tai
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 1,449
- 574
mmh ila ki ukweli hata me ningewagegeda sana wanawake kuna raha mnapata wanaaume hatuijui..... ndo maana huwa mara nyingi ninyi ndo huwa mnaomba mchezo siku zote,.....
mara tatu kwani ni dozi si nitakufa haraka
Wanajiheshimu ndiyo, kwa vile ni wanawake. Je wangekuwa wanaume wangejiheshimu vivyo hivyo?
Ila kumbuka umdhaniae ndiye kumbe siyee
kwan hapo hivyo ulivyo hujawahi kupigwa na 3 tofautiu kwa siku? au inashindikana? ♥★★
sijawahi kabisa na sipendi
Hahahaha alafu unamjibu ninimi mwenyewe nshakutana nao wengi huwa wanasema hivyo hivyo.. halafu mwishoni anakuambia we siku nikikukuta na mwanamke mwingine utanijua mi nnani!
mmh
sidhani..
nina wasi wasi na huo utafiti wako!
uliwauliza wasichana timamu au machangudoa!!!
Na wewe umeuliza wanawake wangapi? Inategema wewe tabia yako na tabia za wanawake wale, mwanamke mwenye tabia nzuri hawezi kujibu swali kama hilo la kijinga.Wakuu nimefanya resarch yang binafsi ila nashindwa kuwaelewa wanawake yaan kila mwana mke ukimuuliza kama ungekuwa mwanaume ungefanya nini jibu la kwanza utasikia ningewagegeda wanawake mpaka wange koma sasa nacho jiuliza mbona cc tukiwagagada wanalala mika wakat kumbe wangekuwa na wao pia ni wanawake they would do the samething...
Regard
God with us
Na wewe umeuliza wanawake wangapi? Inategema wewe tabia yako na tabia za wanawake wale, mwanamke mwenye tabia nzuri hawezi kujibu swali kama hilo la kijinga.
Pili mwanamke anaye sema angependa kuzaliwa mwanaume lazima awe ana kasoro flani.
Sawa sawa na mwanamke aje aniulize ungezaliwa mwanamke ungefanya nini, ningemjibu mbona nimeisha zaliwa mwanaume sa watu wanazaliwa mara ngapi kwani? Sidhani we kama mwanaume huwezi kuwa very proud ya kuwa mwanaume unless una kasoro zako.
Wakuu nimefanya resarch yang binafsi ila nashindwa kuwaelewa wanawake yaan kila mwana mke ukimuuliza kama ungekuwa mwanaume ungefanya nini jibu la kwanza utasikia ningewagegeda wanawake mpaka wange koma sasa nacho jiuliza mbona cc tukiwagagada wanalala mika wakat kumbe wangekuwa na wao pia ni wanawake they would do the samething...
Regard
God with us