Wakuu EGM au CBG nishaurini wapi niende

Wakuu EGM au CBG nishaurini wapi niende

Hatimaye matokeo yametoka naombeni ushauri wakuu
Math-c
Phyz-f
Chemistry-d
Geography-c
Biology-c
Kiswahili-c
History-d
Civcs-d
English-b
Naombeni ushaur wenu nime balance au
3f2d7eb99a6a932e49c3b24edb0a063a.jpg
 
Wakuu kwann mtu usiwe wazi tu kama unamuombea ushaur ndugu yako kuliko kujifanya ni wew , kila mwaka ,
Mara fform 6, mara 4m,,,
Mara chuo,,
Mnapelekea hadi wenye nia ya kushauriwa kwel kupuuzwa kwa sababu yenu
 
Wakuu kwann mtu usiwe wazi tu kama unamuombea ushaur ndugu yako kuliko kujifanya ni wew , kila mwaka ,
Mara fform 6, mara 4m,,,
Mara chuo,,
Mnapelekea hadi wenye nia ya kushauriwa kwel kupuuzwa kwa sababu yenu
Paw
 
Criteria for u must at least B, C, which make five points
 
Wakuu kwann mtu usiwe wazi tu kama unamuombea ushaur ndugu yako kuliko kujifanya ni wew , kila mwaka ,
Mara fform 6, mara 4m,,,
Mara chuo,,
Mnapelekea hadi wenye nia ya kushauriwa kwel kupuuzwa kwa sababu yenu
Kwanza alistahili BAN@paw
 
Kwa matokeo yako kupata shule ya government itakuwa ngumu mwombe mungu
 
Hapo kama utachaguliwa comb we cbg labda kama unaenda private ningekushauri uende EGM. But inategemea wewe mwenyewe unapendelea kusomea nn na baadaye uwe nani? Thus all
 
Hapo kama utachaguliwa comb we cbg labda kama unaenda private ningekushauri uende EGM. But inategemea wewe mwenyewe unapendelea kusomea nn na baadaye uwe nani? Thus all
Kazi kweli kweli.
Watu mnatiririka kushauri Hewa.
161ddb1c74f5ecd18f1e652de901d7c5.jpg
 
Wakuu nisameheni tu ila naombeni ushauri wenu wa wengi najua niliongopa ila nishaurin wap pana fursa nyingi
 
Back
Top Bottom