Replies
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,497
- 453
Tel: +255 758 303 090,+255 684 210 277
Email: swahiliwaterworks@gmail.com Website:www.swahiliwaterworks.wix.com
TIN: 121-299-046
MATUMIZIYA SUPER GRO MASHAMBANI
KAZIYAKE
- Inazuia mimea kushambuliwa na wadudu (magonjwa ya mimea).
- Hurutubisha mimea.
- Hutunza unyevunyevu kwa mimea muda wote.
- Huzuia fangasi kwenye mimea.
- Husaidia mimea kukua kwenye saizi moja.
- Hutumika kama mbolea au samadi mashambani.
- Inasaidia mimea kukua kwa haraka zaidi ya kawaida.
MATUMIZIYAKE
Udongo wa mfinyanzi na udongo mwingine 3ml super gro=lita 1 ya maji.
Nywesha baada ya kuchipua au wakati wowote wa uhai wammea kama umechelewa sana.Nywesha wakati mbegu ziko kwenye vitalu au siku tatu(3) baada ya kupandikiza endelea kunywesha baada ya siku kumi na nne (14)wakati wa masika, kama jua kali sana nywesha baada ya siku saba (7).Wakati wakiangazi nywesha kila baada ya siku kumi (10).
MAHINDIAU MPUNGA
BUSTANI
VITUNGUU
MAEMBE,MICHUNGWA
SUPERGRO HUFANYA YAFUATAYO
- Huleta nguvu mpya kwa mazao yaliyolemaa.
- Huongeza maua na uzalishajina huzuia kupukutika maua.
- Huongeza ukubwa wa matunda.
- Huongeza uzito wa makabichi,viazi,mahindi,ngano.kunde na mazao mengi mengineyo.
- Hunyonywa haraka sana na mmea,haigongani na vitu vingine vya kusaidia mmea na hili limefanyiwa majaribio.
- Hutumika kwenye hali ya hewa yoyote.Super gro hupenya haraka mpaka kwenye mizizi na husaidia dawa nyingine kama za kuua magugu kufanya kazi yake vizuri na kuua magugu haraka zaidi.
- Huzidisha ongezeko la mazao na mbolea hupenyeza mpaka kwenye mizizi.
Ukishatumia super gro hulainisha ardhi,maji na mbojina kuwezesha maji kufika chini sana na kufuata mizizi,mbolea huenda naunyevunyevu wa maji.Wakati wa joto kali majia hayapungui ardhini haraka na mvuahunyonywa na mizizi vikifanya mimea kuwa na afya wakati wa jua kali na wakatiwa baridi pia.
- Lita moja (1) hutumika kwa heka tatu( 3) na lita tano(5) kwa heka kumi na tano (15)