ASHA NGEDELE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 784
- 327
Habari wakulima,
Kama kuna ambae huwa analima na kuuza tikiti masoko ya dar es salaam naomba aniunganishe na dalali wake ambae ni mwaminifu ili niwe namtumia kumpelekea mzigo wangu ukiiva.
Nina dalali huwa namtumia yuko soko la Buguruni lakini amekua mjanja mjanja sana na pesa siioni. Najua dalali wengi (kama sio wote) wana utapeli ndani yao lakini wanatofautiana wengine wana nafuu.
Kwahio naomba mwenye kunipatia msaada huu aje private.
Asante
Kama kuna ambae huwa analima na kuuza tikiti masoko ya dar es salaam naomba aniunganishe na dalali wake ambae ni mwaminifu ili niwe namtumia kumpelekea mzigo wangu ukiiva.
Nina dalali huwa namtumia yuko soko la Buguruni lakini amekua mjanja mjanja sana na pesa siioni. Najua dalali wengi (kama sio wote) wana utapeli ndani yao lakini wanatofautiana wengine wana nafuu.
Kwahio naomba mwenye kunipatia msaada huu aje private.
Asante