Mimi Titan nimeangalia kwa kina jinsi CCM wanavyo zidiwa nguvu na ukawa nikaona karata yamwisho waliobakiza ni Mzee Agustino Ramathani aweze kugombea urais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Zaidi ya apo CCM wataangukia pua october 2015
Mimi Titan nimeangalia kwa kina jinsi CCM wanavyo zidiwa nguvu na ukawa nikaona karata yamwisho waliobakiza ni Mzee Agustino Ramathani aweze kugombea urais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Zaidi ya apo CCM wataangukia pua october 2015
Mimi Titan nimeangalia kwa kina jinsi CCM wanavyo zidiwa nguvu na ukawa nikaona karata yamwisho waliobakiza ni Mzee Agustino Ramathani aweze kugombea urais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Zaidi ya apo CCM wataangukia pua october 2015
Rais-joseph sinde warioba.
Makamu wa kwanza-maalim seif sharif hamad.
Rais wa zanzibar-salim ahmed salim.
Waziri mkuu-wilbrod peter slaa.
Waziri wa mambo ya ndani-freeman mbowe.
Waziri wa elimu-james mbatia.
Waziri wa uchumi na fedha-ibrahim haruna lipumba.
Waziri wa katiba na sheria-hamfrey polepole.
ulichokisema ni kweli,hata mimi naamini hivyo,atapunguza mpasuko miongoni mwa makada,udini,ubara na uzanzibar.wakilalamika ni zamu ya visiwani jibu ndio hilo,wakilalamika kwa hoja dhaifu ya kuwa ni zamu ya wakristo yeye ni jibu maana ni ngumu kupata mgombea toka visiwani mwenye sifa kuzidi jaji Augustino.japo siamini sana kama atakubali aache kuchunga kondoo wa bwana na kujiingiza kwenye siasa.nape awashauri wenzie wamshawishi mzee huyo.Mimi Titan nimeangalia kwa kina jinsi CCM wanavyo zidiwa nguvu na ukawa nikaona karata yamwisho waliobakiza ni Mzee Agustino Ramathani aweze kugombea urais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Zaidi ya apo CCM wataangukia pua october 2015
ulichokisema ni kweli,hata mimi naamini hivyo,atapunguza mpasuko miongoni mwa makada,udini,ubara na uzanzibar.wakilalamika ni zamu ya visiwani jibu ndio hilo,wakilalamika kwa hoja dhaifu ya kuwa ni zamu ya wakristo yeye ni jibu maana ni ngumu kupata mgombea toka visiwani mwenye sifa kuzidi jaji Augustino.japo siamini sana kama atakubali aache kuchunga kondoo wa bwana na kujiingiza kwenye siasa.nape awashauri wenzie wamshawishi mzee huyo.