Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,545
Ukristo ni dini na ni tamaduni ambayo inaongozwa kwa misingi ya biblia. Lakini cha ajabu kuna mambo ambayo tunafanya yanaacha midomo wazi.
Juzi kati hpa naangalia "Hawavumi Lakini Wamo" kipindi cha wasanii na waimbaji ITV kuna mdada mmoja mlokole fulani hivi anaimba wimbo wa "Yesu Atarudi" cha ajabu melody na instrument ni ya wimbo wa Harmonize "Atarudi" sasa nabaki kujiuliza tangu lini magharibi na mashariki zikakutana.
Mbaya zaidi yaani hta aina ya muziki wa madhehebu ya kikristo( isipokuwa) katoriki yaani kila kitu ni muziki wa dunia hadi kuchecha yaani makanisani hamna tofautu na disko. Tunakwama wapi?
Siku hizi madhabahu yanatumika kama majukwaa ya siasa. Yaani kana nimejosewa na fulani siku nikipata nafasi kusimama atanikoma. Nitasema udhaifu wake ili tu nimkomoe. Tunakwama wapi?
Siku hizi kila nchungaji anakuja na falsafa zake kuhusu mahusiano. Yaani kila mchungaji ni mtaalamu wa ndoa. Anaongea ili apate attention YouTube na kwenye mitandao mingine ya kijamii. Tunakwama wapi?Viongozi wa serikali wakikosea mnabaki kuwaangalia tu na kuwapigia makofi badala ya kukemea. Tunakwama wapi?
NI HAYO TU.
Juzi kati hpa naangalia "Hawavumi Lakini Wamo" kipindi cha wasanii na waimbaji ITV kuna mdada mmoja mlokole fulani hivi anaimba wimbo wa "Yesu Atarudi" cha ajabu melody na instrument ni ya wimbo wa Harmonize "Atarudi" sasa nabaki kujiuliza tangu lini magharibi na mashariki zikakutana.
Mbaya zaidi yaani hta aina ya muziki wa madhehebu ya kikristo( isipokuwa) katoriki yaani kila kitu ni muziki wa dunia hadi kuchecha yaani makanisani hamna tofautu na disko. Tunakwama wapi?
Siku hizi madhabahu yanatumika kama majukwaa ya siasa. Yaani kana nimejosewa na fulani siku nikipata nafasi kusimama atanikoma. Nitasema udhaifu wake ili tu nimkomoe. Tunakwama wapi?
Siku hizi kila nchungaji anakuja na falsafa zake kuhusu mahusiano. Yaani kila mchungaji ni mtaalamu wa ndoa. Anaongea ili apate attention YouTube na kwenye mitandao mingine ya kijamii. Tunakwama wapi?Viongozi wa serikali wakikosea mnabaki kuwaangalia tu na kuwapigia makofi badala ya kukemea. Tunakwama wapi?
NI HAYO TU.