Wakorea kujenga hospitali ya meli

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
[h=2][/h]JUMAPILI, AGOSTI 05, 2012 07:26 NA JOHN MADUHU, MWANZA

HALMASHAURI ya Wilaya ya Sengerema kwa kushirikiana na wafadhili kutoka Korea Kusini wanatarajia kujenga hospitali ya meli kwa ajili ya kutoa matibabu kwa wananchi wanaoishi katika visiwa vilivyopo katika ziwa Victoria.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Mathew Lubongeja ameieleza Mtanzania kuwa meli hiyo itajengwa maalumu kwa ajili ya kutumika kama hospitali inayotembea.

Lubongeja alisema tayari vifaa vya kujenga meli hiyo vimekwisha kuwasili katika bandari ya Dar es Salaam kutoka Korea Kusini na vinatarajiwa kusafirishwa wakati wowote kupelekwa Mwanza kwa ajili ya kuunganishwa na kuwa meli kamili.

Alisema hospitali hiyo inayotembea itakuwa ikitoa huduma za matibabu kwa wananchi wanaoishi katika visiwa na itakuwa na uwezo wa kulaza wagonjwa na kutoa huduma zote muhimu ikiwa ni pamoja na upasuaji.

"Meli hiyo ni ya aina yake, wananchi wanaoishi katika visiwa katika ziwa Victoria walikuwa na tatizo la kupata huduma ya hospitali kutokana na mazingira yao, tumejitahidi kutafuta wafadhili na ndoto yetu imetimia wananchi hao watapata hospitali ya uhakika inayotembea," alisema.

Lubongeja alisema kazi ya kuiunganisha meli hiyo itakayotumika kama hospitali inatarajiwa kuchukua muda mfupi na kuwapongeza wafadhili hao kwa msaada huo.

Wilaya ya Sengerema inaongoza kwa kuwa na visiwa vingi katika ziwa Victoria. kwa kuwa na visiwa 37 hali ambayo imekuwa ikisababisha wananchi wengi kukosa huduma za matibabu kutokana na kutokuwapo usafiri wa uhakika.

 

Sasa hapo ndio Maendeleo tunayoyataka kwenye Mwambao wa ZIWA VICTORIA...

Yeah hapo ndio naona faida ya kuwapa ka-ardhi chetu... sioni faida ya kuwapa wa-Iran zaidi ya kutuongezea

Matatizo, Misaada yao Wanapeleka Zanzibar Ardhi tumewapa Bara...
 
[h=2][/h][FONT=courier
new]JUMAPILI, AGOSTI 05, 2012 07:26 NA JOHN MADUHU,
MWANZA

[/FONT]

[FONT=courier
new]HALMASHAURI ya Wilaya ya Sengerema kwa kushirikiana na wafadhili
kutoka Korea Kusini wanatarajia kujenga hospitali ya meli kwa ajili ya
kutoa matibabu kwa wananchi wanaoishi katika visiwa vilivyopo katika
ziwa Victoria.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Mathew Lubongeja
ameieleza Mtanzania kuwa meli hiyo itajengwa maalumu kwa ajili ya
kutumika kama hospitali inayotembea.

Lubongeja alisema tayari vifaa vya kujenga meli hiyo vimekwisha kuwasili
katika bandari ya Dar es Salaam kutoka Korea Kusini na vinatarajiwa
kusafirishwa wakati wowote kupelekwa Mwanza kwa ajili ya kuunganishwa na
kuwa meli kamili.

Alisema hospitali hiyo inayotembea itakuwa ikitoa huduma za matibabu kwa
wananchi wanaoishi katika visiwa na itakuwa na uwezo wa kulaza wagonjwa
na kutoa huduma zote muhimu ikiwa ni pamoja na upasuaji.

"Meli hiyo ni ya aina yake, wananchi wanaoishi katika visiwa katika ziwa
Victoria walikuwa na tatizo la kupata huduma ya hospitali kutokana na
mazingira yao, tumejitahidi kutafuta wafadhili na ndoto yetu imetimia
wananchi hao watapata hospitali ya uhakika inayotembea," alisema.

Lubongeja alisema kazi ya kuiunganisha meli hiyo itakayotumika kama
hospitali inatarajiwa kuchukua muda mfupi na kuwapongeza wafadhili hao
kwa msaada huo.

Wilaya ya Sengerema inaongoza kwa kuwa na visiwa vingi katika ziwa
Victoria. kwa kuwa na visiwa 37 hali ambayo imekuwa ikisababisha
wananchi wengi kukosa huduma za matibabu kutokana na kutokuwapo usafiri
wa uhakika.

[/FONT]

M2 wangu me cdhani mambo ya kweny maji co kabisa.
 
Bac 2kumbuke kulifanyia marekebisho maana likikaa sana kwenye maji litaharibika 2 hata kama litakuwa stationary.

Nina Maana itasafiri kando kando mwa ziwa kwenye Mwambao na kupaki kusubiri Wagonjwa Mfano itakwenda Ukerewe

na kukaa kusubiri wagonjwa; Itakwenda Ukara na kufanya hivyo hivyo wakati inatibu itakuwa stationary
 
Back
Top Bottom