Wakoloni walitugawa na kutupa alama za kudumu

Wakoloni walitugawa na kutupa alama za kudumu

Technician

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2010
Posts
841
Reaction score
224
WanaJF.

Wakoloni walianza kutugawa kwa kutuchanja mwilini kwa kuweka alama
Kwa kila kabila hapa Tanzania ili watujue kwa makabila yetu hata tukikimbia na
Kutorekea ulaya unakamatwa na kurudishwa ulikotoka.
Kwa mfano
1.Wamakonde (Mtwara)-walichanwa uso mzima na kutobolewa pua
2.Wamasai(Arusha)-Walitobolewa masikio na kuamrishwa kusuka nywele
3.wagogo(Dodoma)-Waliwekwa alama kwenye kipaji cha uso
4.Wanyalukolo(Iringa)-Walipewa alama ya chale mbili kwenye paji la uso
5…………………….
6……………………
Ongeza alama zingine hapa .
 
WanaJF.

Wakoloni walianza kutugawa kwa kutuchanja mwilini kwa kuweka alama
Kwa kila kabila hapa Tanzania ili watujue kwa makabila yetu hata tukikimbia na
Kutorekea ulaya unakamatwa na kurudishwa ulikotoka.

Kwa mfano
1.Wamakonde (Mtwara)-walichanwa uso mzima na kutobolewa pua
2.Wamasai(Arusha)-Walitobolewa masikio na kuamrishwa kusuka nywele
3.wagogo(Dodoma)-Waliwekwa alama kwenye kipaji cha uso
4.Wanyalukolo(Iringa)-Walipewa alama ya chale mbili kwenye paji la uso
5…………………….
6……………………
Ongeza alama zingine hapa .

Una uhakika na hiyo blue hapo juu? Sio kweli, wakoloni hawakumchanja yeyote wala kumuwekea alama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom