Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 10,597
- 13,980
Tuliambiwa haipo kabisa ilishafutika!! Sahivi tena mnasema ipo ila imehasiwa? Sasa which is which?Wazee wa kujifariji!
Hezbolah walishahasiwa! Na hivi baba yao anapigika, watakuwa hawana ishu tena
Waliingilia upande wa Syria na uniform za jeshi la Lebanon,wakachezea mbaya,kuzuwia kutekwa Israel wakatuma chopper,moja ikashushwa,kuna uwezekano wametekwa na wengine kuuawa
Echolimai mwenyewe kimyaaaa sn sijui tuanze michango!!!!!Echolima1 a.k.a mwenye majina 30+ kama utitiri Umejificha wapi au kazi za kusafisha vyoo zimekuzidi kule Tela Aviv.
Umewaona Hezbullah au bado
View: https://youtu.be/_d95LLJvZ7Y?si=KaozdYLUYtd555oI
Afu kuna fununu wametekwa askari wa Israel walijidai eti makamanda kushuka kutoka kwenye Helcopter kutumia Parachutes.
View: https://youtu.be/Ql9bTdpIM98?si=WKroEMOsVZ4mg--V
Huyu waziri alikuwa akitamba ataigeuza Lebanon kama Gaza mtoto wake inasemekana kaumizwa vibaya sana na Hezbullah
Wechaweeee kiraisiiiii ivyoooo mwenzio Wanajamba jamba kupambana na Hezbullah sio poaaaaa.Wazee wa kujifariji!
Hezbolah walishahasiwa! Na hivi baba yao anapigika, watakuwa hawana ishu tena
Pampers ni nyingi sana Tela Aviv wazikusanye afu wakazitupe kwenye dumping yardEcholimai mwenyewe kimyaaaa sn sijui tuanze michango!!!!!
Kumbe ndio kazi yake uyu echolimai!!!Pampers ni nyingi sana Tela Aviv wazikusanye afu wakazitupe kwenye dumping yard
Clip ulizoweka zina lugha za Majini hivyo watu wengi hawaelewi wanaongea niniEcholima1 a.k.a mwenye majina 30+ kama utitiri Umejificha wapi au kazi za kusafisha vyoo zimekuzidi kule Tela Aviv.
Umewaona Hezbullah au bado
View: https://youtu.be/_d95LLJvZ7Y?si=KaozdYLUYtd555oI
Afu kuna fununu wametekwa askari wa Israel walijidai eti makamanda kushuka kutoka kwenye Helcopter kutumia Parachutes.
View: https://youtu.be/Ql9bTdpIM98?si=WKroEMOsVZ4mg--V
Huyu waziri alikuwa akitamba ataigeuza Lebanon kama Gaza mtoto wake inasemekana kaumizwa vibaya sana na Hezbullah
Aione na hiiEcholima1 a.k.a mwenye majina 30+ kama utitiri Umejificha wapi au kazi za kusafisha vyoo zimekuzidi kule Tela Aviv.
Umewaona Hezbullah au bado
View: https://youtu.be/_d95LLJvZ7Y?si=KaozdYLUYtd555oI
Afu kuna fununu wametekwa askari wa Israel walijidai eti makamanda kushuka kutoka kwenye Helcopter kutumia Parachutes.
View: https://youtu.be/Ql9bTdpIM98?si=WKroEMOsVZ4mg--V
Huyu waziri alikuwa akitamba ataigeuza Lebanon kama Gaza mtoto wake inasemekana kaumizwa vibaya sana na Hezbullah
Wewe wamekunyima kuingia kwenya mahandaki yao umejificha kwenye vyoo unavyosafisha kiroho kinapwitaClip ulizoweka zina lugha za Majini hivyo watu wengi hawaelewi wanaongea nini
Hivyo kuziweka hapa ni sawa tu kama unajifariji-fariji Baada ya kipogo kupigo cha Mbwa-koko.
IMEFUFUKA KUTOKA WAFU NA KUISHINDA MAUTI.Tuliambiwa haipo kabisa ilishafutika!! Sahivi tena mnasema ipo ila imehasiwa? Sasa which is which?
Video yenyewe ya Propaganda hata haieleweki!!Aione na hii
View: https://www.youtube.com/watch?v=cTBC0MNurkA
Wewe wamekunyima kuingia kwenya mahandaki yao umejificha kwenye vyoo u
Attach files
navyosafisha kiroho kinapwita
Propaganda kama hizi haziwezi kumsaidia Iran asipigwe!!
Hezbollah ilikuwa enzi za Gaidi Hassan Nasrallah sasa hivi mnasumbuka na Mavi ya Hezbollah tu nao watasafishwa tu maana hawana impact yoyote kwa Israel maana Bwana wake Iran sasa hivi anapigwa!!Tuliambiwa haipo kabisa ilishafutika!! Sahivi tena mnasema ipo ila imehasiwa? Sasa which is which?
Mbona wamezuia ambush ya makomandoo wa Israel kutokea upande wa Syria? Au huna habari kuwa mission failed?Hezbollah ilikuwa enzi za Gaidi Hassan Nasrallah sasa hivi mnasumbuka na Mavi ya Hezbollah tu nao watasafishwa tu maana hawana impact yoyote kwa Israel maana Bwana wake Iran sasa hivi anapigwa!!