MAKADA wapya Wa ccm Kafulila na Katambi wamekuwa kimya sana hata kwenye KAMPENI za UBUNGE KINONDONI hawakujitokeza kumnadi Mgombea wao .Nilitegemea wangemwaga SERA za hali ya juu mpaka Chadema wasipate hata KURA 10.
WALIDHURUMIWA POSHO ZAO NDIO MAANA WAMEKUWA WAPOLE PIA WANANYANYASIKA SANA NA WATOTO WA NDANI YA NDOA HUKO KWENYE FAMILIA YA MAMA YAO WA KAMBO.WANATAMANI ARDHI IPASUKE WAINGIE KISHA WAKAIBUKIE KWINGINE.
MAKADA wapya Wa ccm Kafulila na Katambi wamekuwa kimya sana hata kwenye KAMPENI za UBUNGE KINONDONI hawakujitokeza kumnadi Mgombea wao .Nilitegemea wangemwaga SERA za hali ya juu mpaka Chadema wasipate hata KURA 10.